Kwanini wazazi/walezi waliotuchapa viboko vya uhakika leo wanatuzuia na kawatetea tunapowachapa watoto wetu?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,738
109,171
Kuna muda huwa nakaa na siwaelewi Wazazi (Walezi) wetu ambao wakati akina GENTAMYCINE tukiwa Watoto miaka ya mwanzoni mwa 80 walikuwa wakituchapa Bakora (Mboko) tena za Kishalubela (Kikatili) ili watunyooshe Kitabia na Kimaadili ndiyo hao hao Leo hii nasi tukiwanyoosha Wajukuu zao (Watoto wetu) wanatuzuia na Kuwatetea kabisa.

Kwa Mshangao mkubwa kabisa kuna Mwalimu wangu wa Shule ya Msingi (sasa Mstaafu) na Mlezi wangu pia Kimaadili nakumbuka enzi zake si tu kwamba niliishia kula Mboko (Bakora) zake Shuleni, bali pia alikuwa akinipa mno 'Adhabu za Kijeshi' kutokana na Ukorofi na Utundu wangu kanikuta nafanya kile kile alichokuwa akinifanyia Kanizuia, Kamtetea Mtoto na mpaka katishia Kunishtaki katika Taasisi za Haki za Watoto.

Nimejiuliza Maswali mengi sana tu moja wapo likiwa kuwa je, ina maana huyu Mwalimu na Mlezi wangu Kipindi kile ananichapa na kunipa Adhabu alikuwa anajua Mimi ni Ng'ombe (Mnyama) na kwamba huyu Mjukuu wake anayemtetea Leo hii ndiyo Mtu ( Binadamu ) Kwake au?

Najua hapa JamiiForums wapo Wazazi ( Walezi ) Wetu wengi tu hivyo nami GENTAMYCINE nawaambia kuwa kama nyie mlivyokuwa hamuingiliwi na Watu mlivyokuwa mkituchapa na kutuadhibu Basi hata na Sisi pia tukiwanyoosha Wajukuu zenu (Watoto wetu) muwe wapole vinginevyo hatutowaelewa na mnaweza hata Kusababisha na nyie tuwajumuisheni humo humo katika Vichapo ili mtulie na Uzee wenu huu (huo)

Mijukuu yenu yenyewe 'Mikorofi', haina Adabu na Utandawazi umewaharibu kwanini Sisi Baba zao (Walezi wao) tusiwanyooshe ili wasije kumpa taabu Rais Samia na Tanzania yake hii pamoja na IGP Sirro na Jeshi lake la Polisi katika Kukabiliana na ongezeko la Uhalifu nchini?

Yaani Mtoto nimemzaa Mwenyewe anaona kabisa Baba yake namtongoza Mama wa Jirani kanachomoa Simu yangu iliyoko katika Chaji yenye namba za 'Mahawara' zangu kadhaa na Picha zao kanampelekea na hadi 'Babaake' nanyimwa 'Mbunye' hivi hivi je, hii ni Adabu na Maadili mema ya Mtoto?

Namsubiri arudi ila leo ndiyo atajua kwanini Wimbo wa Taifa hauna 'Kolabo' na Nyoka hana Ugoko au Mkoa wa Mara ( Musoma ) hakuna Kibao cha KARIBU MKOANI MARA na 'Kiherehere' cha Kuchomoa Simu yangu iliyokuwa katika Chaji na kwenda nayo kwa Mwanamke niliyekuwa Namtongoza kilikuwa ni cha nini.
 
Kuna muda huwa nakaa na siwaelewi Wazazi ( Walezi ) wetu ambao wakati akina GENTAMYCINE tukiwa Watoto miaka ya mwanzoni mwa 80 walikuwa wakituchapa Bakora ( Mboko ) tena za Kishalubela ( Kikatili ) ili watunyooshe Kitabia na Kimaadili ndiyo hao hao Leo hii nasi tukiwanyoosha Wajukuu zao ( Watoto wetu ) wanatuzuia na Kuwatetea kabisa.

Kwa Mshangao mkubwa kabisa kuna Mwalimu wangu wa Shule ya Msingi ( sasa Mstaafu ) na Mlezi wangu pia Kimaadili nakumbuka enzi zake si tu kwamba niliishia kula Mboko ( Bakora ) zake Shuleni, bali pia alikuwa akinipa mno 'Adhabu za Kijeshi' kutokana na Ukorofi na Utundu wangu kanikuta nafanya kile kile alichokuwa akinifanyia Kanizuia, Kamtetea Mtoto na mpaka katishia Kunishtaki katika Taasisi za Haki za Watoto.

Nimejiuliza Maswali mengi sana tu moja wapo likiwa kuwa je, ina maana huyu Mwalimu na Mlezi wangu Kipindi kile ananichapa na kunipa Adhabu alikuwa anajua Mimi ni Ng'ombe ( Mnyama ) na kwamba huyu Mjukuu wake anayemtetea Leo hii ndiyo Mtu ( Binadamu ) Kwake au?

Najua hapa JamiiForums wapo Wazazi ( Walezi ) Wetu wengi tu hivyo nami GENTAMYCINE nawaambia kuwa kama nyie mlivyokuwa hamuingiliwi na Watu mlivyokuwa mkituchapa na kutuadhibu Basi hata na Sisi pia tukiwanyoosha Wajukuu zenu ( Watoto wetu ) muwe wapole vinginevyo hatutowaelewa na mnaweza hata Kusababisha na nyie tuwajumuisheni humo humo katika Vichapo ili mtulie na Uzee wenu huu ( huo )

Mijukuu yenu yenyewe 'Mikorofi', haina Adabu na Utandawazi umewaharibu kwanini Sisi Baba zao ( Walezi wao ) tusiwanyooshe ili wasije kumpa taabu Rais Samia na Tanzania yake hii pamoja na IGP Sirro na Jeshi lake la Polisi katika Kukabiliana na ongezeko la Uhalifu nchini?

Yaani Mtoto nimemzaa Mwenyewe anaona kabisa Baba yake namtongoza Mama wa Jirani kanachomoa Simu yangu iliyoko katika Chaji yenye namba za 'Mahawara' zangu kadhaa na Picha zao kanampelekea na hadi 'Babaake' nanyimwa 'Mbunye' hivi hivi je, hii ni Adabu na Maadili mema ya Mtoto?

Namsubiri arudi ila leo ndiyo atajua kwanini Wimbo wa Taifa hauna 'Kolabo' na Nyoka hana Ugoko au Mkoa wa Mara ( Musoma ) hakuna Kibao cha KARIBU MKOANI MARA na 'Kiherehere' cha Kuchomoa Simu yangu iliyokuwa katika Chaji na kwenda nayo kwa Mwanamke niliyekuwa Namtongoza kilikuwa ni cha nini.
Umri mkuu wakitafanyakari walichokuwa wanatufanyia!Wanaona hatia kwa yaliyopita.
 
Wanaelewa walitunyoosha mpaka tukavunjika, maana ujeuri mpaka bado tunao, kizazi cha nyoka, badoo wabishiii! 😂 😂

Wanaokoa generations zijazo ziwe na adabu. Wanaona viboko havikutusaidia, tulipokuwa wakubwa na kupata uhuru, hawakuweza kutu control tena.

Everyday is Saturday................................:cool:
 
Kuna muda huwa nakaa na siwaelewi Wazazi (Walezi) wetu ambao wakati akina GENTAMYCINE tukiwa Watoto miaka ya mwanzoni mwa 80 walikuwa wakituchapa Bakora (Mboko) tena za Kishalubela (Kikatili) ili watunyooshe Kitabia na Kimaadili ndiyo hao hao Leo hii nasi tukiwanyoosha Wajukuu zao (Watoto wetu) wanatuzuia na Kuwatetea kabisa.

Kwa Mshangao mkubwa kabisa kuna Mwalimu wangu wa Shule ya Msingi (sasa Mstaafu) na Mlezi wangu pia Kimaadili nakumbuka enzi zake si tu kwamba niliishia kula Mboko (Bakora) zake Shuleni, bali pia alikuwa akinipa mno 'Adhabu za Kijeshi' kutokana na Ukorofi na Utundu wangu kanikuta nafanya kile kile alichokuwa akinifanyia Kanizuia, Kamtetea Mtoto na mpaka katishia Kunishtaki katika Taasisi za Haki za Watoto.

Nimejiuliza Maswali mengi sana tu moja wapo likiwa kuwa je, ina maana huyu Mwalimu na Mlezi wangu Kipindi kile ananichapa na kunipa Adhabu alikuwa anajua Mimi ni Ng'ombe (Mnyama) na kwamba huyu Mjukuu wake anayemtetea Leo hii ndiyo Mtu ( Binadamu ) Kwake au?

Najua hapa JamiiForums wapo Wazazi ( Walezi ) Wetu wengi tu hivyo nami GENTAMYCINE nawaambia kuwa kama nyie mlivyokuwa hamuingiliwi na Watu mlivyokuwa mkituchapa na kutuadhibu Basi hata na Sisi pia tukiwanyoosha Wajukuu zenu (Watoto wetu) muwe wapole vinginevyo hatutowaelewa na mnaweza hata Kusababisha na nyie tuwajumuisheni humo humo katika Vichapo ili mtulie na Uzee wenu huu (huo)

Mijukuu yenu yenyewe 'Mikorofi', haina Adabu na Utandawazi umewaharibu kwanini Sisi Baba zao (Walezi wao) tusiwanyooshe ili wasije kumpa taabu Rais Samia na Tanzania yake hii pamoja na IGP Sirro na Jeshi lake la Polisi katika Kukabiliana na ongezeko la Uhalifu nchini?

Yaani Mtoto nimemzaa Mwenyewe anaona kabisa Baba yake namtongoza Mama wa Jirani kanachomoa Simu yangu iliyoko katika Chaji yenye namba za 'Mahawara' zangu kadhaa na Picha zao kanampelekea na hadi 'Babaake' nanyimwa 'Mbunye' hivi hivi je, hii ni Adabu na Maadili mema ya Mtoto?

Namsubiri arudi ila leo ndiyo atajua kwanini Wimbo wa Taifa hauna 'Kolabo' na Nyoka hana Ugoko au Mkoa wa Mara ( Musoma ) hakuna Kibao cha KARIBU MKOANI MARA na 'Kiherehere' cha Kuchomoa Simu yangu iliyokuwa katika Chaji na kwenda nayo kwa Mwanamke niliyekuwa Namtongoza kilikuwa ni cha nini.
In todays world and globalization trends; it's better to use an approach of being a Guider (Guidance), a Mentor (Mentorship) and a Coach (Coaching) otherwise your kids future life will be disrupted to a larger extent.
 
Kwa sababu hivyo viboko au mboko havijaweza kuondoa ujinga na umaskini katika taifa hili na Africa kwa ujumla, zaidi sana vimetengeneza watu waoga wasio na misamamo tofauti na sehemu nyingine kama Ulaya, Marekani na Japan ambapo waliachana na hayo malezi ya ki-barbarism mwishoni mwa karne ya 19.
Kuna muda huwa nakaa na siwaelewi Wazazi (Walezi) wetu ambao wakati akina GENTAMYCINE tukiwa Watoto miaka ya mwanzoni mwa 80 walikuwa wakituchapa Bakora (Mboko) tena za Kishalubela (Kikatili) ili watunyooshe Kitabia na Kimaadili ndiyo hao hao Leo hii nasi tukiwanyoosha Wajukuu zao (Watoto wetu) wanatuzuia na Kuwatetea kabisa.

Kwa Mshangao mkubwa kabisa kuna Mwalimu wangu wa Shule ya Msingi (sasa Mstaafu) na Mlezi wangu pia Kimaadili nakumbuka enzi zake si tu kwamba niliishia kula Mboko (Bakora) zake Shuleni, bali pia alikuwa akinipa mno 'Adhabu za Kijeshi' kutokana na Ukorofi na Utundu wangu kanikuta nafanya kile kile alichokuwa akinifanyia Kanizuia, Kamtetea Mtoto na mpaka katishia Kunishtaki katika Taasisi za Haki za Watoto.

Nimejiuliza Maswali mengi sana tu moja wapo likiwa kuwa je, ina maana huyu Mwalimu na Mlezi wangu Kipindi kile ananichapa na kunipa Adhabu alikuwa anajua Mimi ni Ng'ombe (Mnyama) na kwamba huyu Mjukuu wake anayemtetea Leo hii ndiyo Mtu ( Binadamu ) Kwake au?

Najua hapa JamiiForums wapo Wazazi ( Walezi ) Wetu wengi tu hivyo nami GENTAMYCINE nawaambia kuwa kama nyie mlivyokuwa hamuingiliwi na Watu mlivyokuwa mkituchapa na kutuadhibu Basi hata na Sisi pia tukiwanyoosha Wajukuu zenu (Watoto wetu) muwe wapole vinginevyo hatutowaelewa na mnaweza hata Kusababisha na nyie tuwajumuisheni humo humo katika Vichapo ili mtulie na Uzee wenu huu (huo)

Mijukuu yenu yenyewe 'Mikorofi', haina Adabu na Utandawazi umewaharibu kwanini Sisi Baba zao (Walezi wao) tusiwanyooshe ili wasije kumpa taabu Rais Samia na Tanzania yake hii pamoja na IGP Sirro na Jeshi lake la Polisi katika Kukabiliana na ongezeko la Uhalifu nchini?

Yaani Mtoto nimemzaa Mwenyewe anaona kabisa Baba yake namtongoza Mama wa Jirani kanachomoa Simu yangu iliyoko katika Chaji yenye namba za 'Mahawara' zangu kadhaa na Picha zao kanampelekea na hadi 'Babaake' nanyimwa 'Mbunye' hivi hivi je, hii ni Adabu na Maadili mema ya Mtoto?

Namsubiri arudi ila leo ndiyo atajua kwanini Wimbo wa Taifa hauna 'Kolabo' na Nyoka hana Ugoko au Mkoa wa Mara ( Musoma ) hakuna Kibao cha KARIBU MKOANI MARA na 'Kiherehere' cha Kuchomoa Simu yangu iliyokuwa katika Chaji na kwenda nayo kwa Mwanamke niliyekuwa Namtongoza kilikuwa ni cha nini.
 
In todays world and globalization trends; it's better to use an approach of being a Guider (Guidance), a Mentor (Mentorship) and a Coach (Coaching) otherwise your kids future life will be disrupted to a larger extent.
Uongo huo ,watu tulipigwa mpaka sasa tumenyooka.
 
Mi dingi yangu teacher kipondo alichokuwa akinipa kimeongeza tu chuki juu yake. Sijawahi kufikilia hata kumkumbuka kwa lolote. Simu yangu haijawahi ishiwa salio la maongezi ila nina zaidi ya miaka minne bila hata kumpigia simu
 
Back
Top Bottom