Leo hii ningependa kufunguka namna hii na kuwataka watanzania waelewe sababu kubwa ya kumchagua kikwete ni mengi ameyafanya kwenye taifa letu tukufu la Tanzania licha ya kuwa alikuwa nguvu ya kukubalika na kupendwa na kundi kubwa la watu pia ufanisi wake dhahiri ndio unaomfanya mpaka leo watanzania waendelee kuwa na imani naye na pia sera zake safi dhahiri zisizojaa matusi kama wengine wanajaribu kugeuza siasa kuwa uwanja wa matusi na kashfa badala ya kuzisimamia ilani zao kama desturi ilivyo sasa wanajadili kuhusu ccm ikiwa wao wengine kama dkt.slaa ana kashfa nzito ambazo mpaka kuizungumzia kwa mgombea kama yeye ni aibu tena kubwa huwezi kuwaongoza watu ikiwa wewe mwenyewe unashindwa kujiongoza na mnaijua sababu iliyosababisha slaa afukuzwe kanisani?uongozi na uasherati kamwe haviendani jamani oktoba 31 tusifanye makosa kura zoote kwa kikwete tumeyaona aliyotenda