Elections 2010 Kwanini watanzania tunamchagua kikwete?

saider

New Member
Oct 11, 2010
4
1
Leo hii ningependa kufunguka namna hii na kuwataka watanzania waelewe sababu kubwa ya kumchagua kikwete ni mengi ameyafanya kwenye taifa letu tukufu la Tanzania licha ya kuwa alikuwa nguvu ya kukubalika na kupendwa na kundi kubwa la watu pia ufanisi wake dhahiri ndio unaomfanya mpaka leo watanzania waendelee kuwa na imani naye na pia sera zake safi dhahiri zisizojaa matusi kama wengine wanajaribu kugeuza siasa kuwa uwanja wa matusi na kashfa badala ya kuzisimamia ilani zao kama desturi ilivyo sasa wanajadili kuhusu ccm ikiwa wao wengine kama dkt.slaa ana kashfa nzito ambazo mpaka kuizungumzia kwa mgombea kama yeye ni aibu tena kubwa huwezi kuwaongoza watu ikiwa wewe mwenyewe unashindwa kujiongoza na mnaijua sababu iliyosababisha slaa afukuzwe kanisani?uongozi na uasherati kamwe haviendani jamani oktoba 31 tusifanye makosa kura zoote kwa kikwete tumeyaona aliyotenda
 
Leo hii ningependa kufunguka namna hii na kuwataka watanzania waelewe sababu kubwa ya kumchagua kikwete ni mengi ameyafanya kwenye taifa letu tukufu la Tanzania licha ya kuwa alikuwa nguvu ya kukubalika na kupendwa na kundi kubwa la watu pia ufanisi wake dhahiri ndio unaomfanya mpaka leo watanzania waendelee kuwa na imani naye na pia sera zake safi dhahiri zisizojaa matusi kama wengine wanajaribu kugeuza siasa kuwa uwanja wa matusi na kashfa badala ya kuzisimamia ilani zao kama desturi ilivyo sasa wanajadili kuhusu ccm ikiwa wao wengine kama dkt.slaa ana kashfa nzito ambazo mpaka kuizungumzia kwa mgombea kama yeye ni aibu tena kubwa huwezi kuwaongoza watu ikiwa wewe mwenyewe unashindwa kujiongoza na mnaijua sababu iliyosababisha slaa afukuzwe kanisani?uongozi na uasherati kamwe haviendani jamani oktoba 31 tusifanye makosa kura zoote kwa kikwete tumeyaona aliyotenda

Umerudi kuchafua hali ya hewa?
 
HIVI WANAOSHABIKIA NA KUIPENDA CCM NA KIKWETE NI WATANZANIA?
kikwete anayesafiri na tuchangudoa nje ya nchi...............wewe unmataka tuchague rais mgonjwa?..mkumbatia mafisadi?....unataka tuchague kikwete mdini anayependelea uislamu hadi kuweka mahakama ya kadhi kwenye ilani yake?........nyambafu
 
Leo hii ningependa kufunguka namna hii na kuwataka watanzania waelewe sababu kubwa ya kumchagua kikwete ni mengi ameyafanya kwenye taifa letu tukufu la Tanzania licha ya kuwa alikuwa nguvu ya kukubalika na kupendwa na kundi kubwa la watu pia ufanisi wake dhahiri ndio unaomfanya mpaka leo watanzania waendelee kuwa na imani naye na pia sera zake safi dhahiri zisizojaa matusi kama wengine wanajaribu kugeuza siasa kuwa uwanja wa matusi na kashfa badala ya kuzisimamia ilani zao kama desturi ilivyo sasa wanajadili kuhusu ccm ikiwa wao wengine kama dkt.slaa ana kashfa nzito ambazo mpaka kuizungumzia kwa mgombea kama yeye ni aibu tena kubwa huwezi kuwaongoza watu ikiwa wewe mwenyewe unashindwa kujiongoza na mnaijua sababu iliyosababisha slaa afukuzwe kanisani?uongozi na uasherati kamwe haviendani jamani oktoba 31 tusifanye makosa kura zoote kwa kikwete tumeyaona aliyotenda
hebu malizia na ushuzi basi tukuelewa coz this sound like shhhhhhiiiiiiiit to me n to ur wife...badilika wewe
 
Saider
umeshapiga kura ya maoni hapo juu? Naona bado tu hamjatosheka na kura feki za redet na synovate.
 
Leo hii ningependa kufunguka namna hii na kuwataka watanzania waelewe sababu kubwa ya kumchagua kikwete ni mengi ameyafanya kwenye taifa letu tukufu la Tanzania licha ya kuwa alikuwa nguvu ya kukubalika na kupendwa na kundi kubwa la watu pia ufanisi wake dhahiri ndio unaomfanya mpaka leo watanzania waendelee kuwa na imani naye na pia sera zake safi dhahiri zisizojaa matusi kama wengine wanajaribu kugeuza siasa kuwa uwanja wa matusi na kashfa badala ya kuzisimamia ilani zao kama desturi ilivyo sasa wanajadili kuhusu ccm ikiwa wao wengine kama dkt.slaa ana kashfa nzito ambazo mpaka kuizungumzia kwa mgombea kama yeye ni aibu tena kubwa huwezi kuwaongoza watu ikiwa wewe mwenyewe unashindwa kujiongoza na mnaijua sababu iliyosababisha slaa afukuzwe kanisani?uongozi na uasherati kamwe haviendani jamani oktoba 31 tusifanye makosa kura zoote kwa kikwete tumeyaona aliyotenda
huyu atakuwa ni RIZ 1 tu! sababu ccm ni ya kifamilia bwana!
 
Watanzania hawampendi kikwete bali wafuatao ndo wanampenda
1. Riz
2.salma
3.makamb
4.kinan
5.jw
6.shk yahaya
7.miraj
8.mafisadi
9.ongezea pls......

Kura yangu naielekeza kwenye mikono sahihi ya mkombozi na mtetezi mpya wa tanzania dr slaa
 
ZENJ BARY: Haya ndio maisha yetu? je unasemaje utanipa kura yako?

KIBAKA TWENDE LUMANDE PIX NO 1.JPG
mwana ccm aliiba simu
 
Mh huyu ni kikwete mwenyewe kaamua kujifagilia. Kura yangu sikupi n'go nani alikuambia ukabembee jamaika huku mfumuko wa bei ukiwamaliza WTZ? Hata uniambie nini kura hupati nishakuwa mtu mzima nakataa uongo wako:A S 13:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom