Hadi dada zako?Wanakuwa wameshakuwa makahaba mkuu
Nani kakudanganya?Soko linakuwa limepungua maana kama kule chini mtoto kapita ina maana.....
Mmh. Nadhani kila mmoja ana namna yake ya kuishi ukiona mtu amekuwa mrahisi jua ndio maisha aliyoyachagua hayo.
Ila ifikie kipindi mtuache wanawake tupumue. Khaaa
Tena si ndogo.duuuh kazi tunayo
tehe tehe tehe ndio mwisho wa kufikiria kwakeNani kakudanganya?
Wanawake mnaolea watoto peke yenu bila usaidizi wa waliowazalisha. Na mnapatikana katika jamii, na hata humu JF kama hivi
Hahaaa. Siku zote asilolijua mtu lazima limsumbue. Muache na giza lake la macho huyo mumy asikuumize kichwa.Nani kakudanganya?
Kweli mkuu alafu wasumbufu hao.Kwanza ukisha zaa tu asilimia zina shuka ata uwe mrembo aje....afu ndo utelekezwe sasa
Wanakuwa wepesi coz wako very desperate ni wepes maana mzigo umechuja ata mamen wanampisha uko njiani wanajua mke wa mtu.....
Kwaio mwanaume ukijilengesha na viswaga vya kutaka kumuoa apo atakung'ang'ania balaaa