afrique
JF-Expert Member
- Jun 28, 2012
- 509
- 135
sasa nyie madada zetu mnataka
mtuuwe tubebe mavyuma bila misosi tuanze kujazia upandwe mmoja mm bwana
sina kufua wala sina kitambi wala makalio nitakachofanya labda nipige
pushup maja maja kila siku mambo yakujiumiza vyuma vyuma sitoweza
na mtu akimchukua demu wangu namtegea tego msije mkasema
sijawambia
si lazima mwaya,coz c wote wanapenda hivyo