Kwanini wanawake wengi hupenda kuangalia makalio ya wanawake wenzao?

Last emperor

JF-Expert Member
Mar 22, 2015
10,352
9,810
Nimekuwa nikiona hii tabia mara nyingi,mara kwa mara wanawake wamekuwa wakigeuka au kuwaangalia wanawake wenzao makalio wanapopita.Kama akiwa anamzidi makalio,utamuona anabetua midomo kwa dharau au anacheka na kumsema kwa wenzake,lakini kama huyo anaepita ni kiboko amefungasha na amemzidi utaona usoni mwake hali ya kuumia moyo au hata kununa.Mbaya zaidi kama huyo mwangaliaji ameongozana na boyfriend wake/mume wake baada ya kumuona mwenzake ameumbika vizuri kuliko yeye,anakuwa na gubu na muda wote ana muangalia bwana yake usoni kumuangalia kama atageuka au atamuangalia huyo aliyefungasha.Na ole wake mwanaume ageuke!Utasikia kama umempenda nenda kwake!Au kumbe ndio zako!Hapo utanununiwa mpaka mwisho!I mean kwa nini wanawake wanakuwa bothered na makalio ya wanawake wenzao?
 
Wameumbwa hivyo tu... siyo makalio tu, kwenye kila kitu.. ndiyo maana ukitaka kuchepuka chepuka na aliyemzidi kwa kila kitu...
 
Ni kweli tunageuka kusifia uumbaji wa Mungu... ila wivu ni big NO. labda wa huko kijijini kwenu
Huku tunafurahisha macho bana na kusifia uumbaji
 
Hapana ukweli hapa, wanawake humuonea wivu mwanamke ambaye ni mzuri zaidi yake sio mwenye makalio zaidi yake.
Unavyopinga na kusema kuwa mwanamke humuonea wivu mwanamke ambae ni mzuri zaidi yake kwani makalio siyo sehemu ya uzuri wa mwanamke?
 
Hiyo ipo kijijini kwenu huku nilipo hakuna upuuzi huo!!


Hapa mjini ipo sana, tena wengine anaanza kumpondea, siku moja kaja dada mkali na kalio lake juu juu, yule niliyekuwa nae alimpondea mpaka nikashangaa kwa nini. Alianza kumsema akiniambia umemuona huyo dada namfahamu ni malaya sana. Tena anajiuza. Mi nikaguna vipi anamsema mwenzake vibaya na hajakosea kitu kaja kutusalimia tu??
 
Back
Top Bottom