BLACK MARXIST
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 2,441
- 5,294
Nilishawahi kuwa na mtu nikawa mtulivu kabisa sipendi ugomvi wala nini, nilidharaulika ikafika hatua dada ananiambia lazima tugombane hata kidogo. Mwisho wa siku alikua mtu alieyendwa huko nyuma nikalala mbele.