Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,719
- 24,922
- Thread starter
- #81
Mwone huyuu nani ajitoe ufahamuKwahiyo umeshajazwa mimba,singo mama mpya in town.
Mwone huyuu nani ajitoe ufahamuKwahiyo umeshajazwa mimba,singo mama mpya in town.
Sio wanaume wote tuko hivo, ni kukosea njia kwenu tuMnasex wote, mnaambiana sex ikileta shida mpo wote ngoja upate mimba hadi mtu anahama hadi mtaa na unamblock mtu.
Why mpo hivi?
Mhhhu! Kwani ikatokea kwamba ni wewe imekuwa hivyo huwa unafanyaje kwa mfano.Sio mie bhana
Kwanini ushike mimba? Ni jukumu lako kuhakikisha haushiki mimba. Kama unampango huo mshirikishe na yeye.Mnasex wote, mnaambiana sex ikileta shida mpo wote ngoja upate mimba hadi mtu anahama hadi mtaa na unamblock mtu.
Why mpo hivi?
Kuna mtu kapigwa jiwe gizani huku analia kama kachinjwa...
Eh! Ila hata wewe unampaje mtu mimba na huna mpango naye siutumie kingaKwanini ushike mimba? Ni jukumu lako kuhakikisha haushiki mimba. Kama unampango huo mshirikishe na yeye.
Mie aliyenipaga alitoa kijanja so nikawa najifunza kutumia kinga kama hataki nafunga kizaziMhhhu! Kwani ikatokea kwamba ni wewe imekuwa hivyo huwa unafanyaje kwa mfano.
EH
Yani kwanza sie ndio tunatakiwa tuishi nao kwa akili kabla ya yote, maan wachache akili zimo, wachache wanajua nin maan ya mahusiano, wachache wanajua nin maan ya kuitwa baba.Mnasex wote, mnaambiana sex ikileta shida mpo wote ngoja upate mimba hadi mtu anahama hadi mtaa na unamblock mtu.
Why mpo hivi?
Umeshaoa tiyariKila kazi ina mshahara wake. Amelipwa stahili yake halali.
Ooh! Dear! Kumbe ulishashiriki mauaji?Mie aliyenipaga alitoa kijanja so nikawa najifunza kutumia kinga kama hataki nafunga kizazi
Wewe hujawahiOoh! Dear! Kumbe ulishashiriki mauaji?
Namshukuru Mungu sijawahi na ninamuomba aniepushie hilo.Wewe hujawahi
Kwahiyo wanaojazwa wanajitoa ufahamuMwone huyuu nani ajitoe ufahamu
Wanaume ndio wanajitoa ufahamuKwahiyo wanaojazwa wanajitoa ufahamu