Kwanini wanaume viwembe/malaya (players) hupendwa na wanawake?

mi naona sabb tayar wanakua na experienc na wanawake hvyo hata styl zao za kupata nyap ni za hal ya juu sana, na kingne madem wanatabia za kuhadithian so nayo huwafanya wampapatikie hasa kama anaki2 kinachowavutia cha tofaut na wanaume wengne.
 
Hivi kwa nini mwanaume akiwa malaya kinadada mnampenda sana? Na akitongoza huwa hamruki? Je kuna harufu huwa ananukia inayowavutia? Utakuta mwanaume mstaarabu lakini wanawake wanamkimbia. Hivi kwa nini kina dada?

Hakika mimi sijui kama kuna mwanaume malaya, ila kiukweli hata mimi sijui kwanini sisi vitombi tunadondokewa na hili zali. Kuna watu wanasema mtu ukiwa kitombi sana, unakuwa unanukia harufu ya K. Kwakuwa mwanamke ana K, na kwakuwa maji hufuata mkondo, then K inakimbilia kwenye mkondo wa K.

Ngoja nami nikuulize, hivi ni kwanini wanaume wanaokula sana wanakuwa na vitambi na mahudhurio yao chooni ni ya kuridhisha?
 
Unauliza makofi polisi kweli? Sababu wanakuwa na uzoefu endelevu.
Kwa nini wanaopewa nafasi za u-CEO ni wale wenye eksipiriensi sana? Kifupi wanaume malaya sana ni ma-CEO wa mapenzi.

Hahahah ahsante kwa jibu zuri, secretary wangu mtiifu.
 
Hata mimi nashangaa. Sisi wapole hatupendwi. Amani kwa white girl anaye nipa furaha duniani.
 
Last edited by a moderator:
Unauliza makofi polisi kweli? Sababu wanakuwa na uzoefu endelevu.
Kwa nini wanaopewa nafasi za u-CEO ni wale wenye eksipiriensi sana? Kifupi wanaume malaya sana ni ma-CEO wa mapenzi.
Konnie wewe unamtaka yupi?
 
Mkuu kwani wewe upo upande gani kati ya hizo mbili ulizosema? 2anzie hapo kwanza.
 
Hivi kwa nini mwanaume akiwa malaya kinadada mnampenda sana? Na akitongoza huwa hamruki? Je kuna harufu huwa ananukia inayowavutia? Utakuta mwanaume mstaarabu lakini wanawake wanamkimbia. Hivi kwa nini kina dada?
Kuna ile dhana ya kuwa anayependwa na wengi au kufuatwa sana basi lazima atakuwa anajuwa kuishughurikia K ki-haswaaaaa.... na wanawake shida yao kubwa ni kunyumbuliwa hadi wanyumbuke.... Kuna mmoja humu MMU alidhasema, raha ya mwanamke akorogwe akoregeke...

Ulishawahi kujiuliza kwa nini walisha ngombe, kuku, wafanya usafi ndo huwa wanawachukuwa wake wa wakubwa serikalini..???

 
Hivi umalaya nayo ni sifa siku hizi nyakati za magonjwa ya kila namna? Kuna watu watulivu kwa kuwaangalia usoni ila wanagonga vibaya watototo wa kike kama vile wana angua embe
 
Kuna ile dhana ya kuwa anayependwa na wengi au kufuatwa sana basi lazima atakuwa anajuwa kuishughurikia K ki-haswaaaaa.... na wanawake shida yao kubwa ni kunyumbuliwa hadi wanyumbuke.... Kuna mmoja humu MMU alidhasema, raha ya mwanamke akorogwe akoregeke...

Ulishawahi kujiuliza kwa nini walisha ngombe, kuku, wafanya usafi ndo huwa wanawachukuwa wake wa wakubwa serikalini..???


Kitu cha amu hiko. Haki ya nani ukiisikia sentensi kama hii unatamani uache kazi ukakoroge!!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom