Kwanini wanajeshi na Polisi hawalipi nauli?

Ivi askari akienda kupanda ndege ya binafsi na sare za kazi pale airport ati anaenda kuona familia Mwanza bila malipo ataruhusiwa?.
 
Nimeisoma hii kwa dalubini kali..iko poa sna nakufuata pm

Ninaamini wanajeshi wengi wangependa kuzalisha kwani ndio taasisi wangalau nina imani nayo sio ya wapigaji. Wangepewa combine harvesters, matractor makubwa na serekali itenge maeneo makubwa, jeshi hili lingekuwa ni taasisi inayozalisha kwa kiwango kikubwa. Kwa mfano sasa kuna sera ya viwanda. Vingeanzishwa viwanda kisha jeshi lipewe kipaombele kwenye kuzalisha malighafi hasa za kilimo kwa ajili ya kiwanda husika. Ni dhahiri hata bidhaa za kiwanda husika zingekuwa za gharama nafuu kwani ni malighafi zilizozalishwa kwa bei nafuu.
 
Nimeisoma hii kwa dalubini kali..iko poa sna nakufuata pm

Ninaamini wanajeshi wengi wangependa kuzalisha kwani ndio taasisi wangalau nina imani nayo sio ya wapigaji. Wangepewa combine harvesters, matractor makubwa na serekali itenge maeneo makubwa, jeshi hili lingekuwa ni taasisi inayozalisha kwa kiwango kikubwa. Kwa mfano sasa kuna sera ya viwanda. Vingeanzishwa viwanda kisha jeshi lipewe kipaombele kwenye kuzalisha malighafi hasa za kilimo kwa ajili ya kiwanda husika. Ni dhahiri hata bidhaa za kiwanda husika zingekuwa za gharama nafuu kwani ni malighafi zilizozalishwa kwa bei nafuu.
 
Ni kama motisha kwa sababu ya majukumu yao..Ukumbuke au tukumbuke kuwa kazi za Jeshi na polisi ni sensitive na ambapo muda wote anakuwa kazini kwa hiyo ukimuona askari ujue yupo kazini.. Na wasiotozwa nauli, ninavyofahamu mimi, ni wale ambao wako kwenye uniform au sare za kazi...ukivaa kama raia yaani pasipo kuwa na sare askari atalazimika kulipa nauli labda yeye mwenyewe ajitambulishe na kwa staha na siyo kushurutisha...Polisi na jeshi ni vyombo vya dola na vina heshima kubwa...ukivaa uniform ya jeshi au polisi ni heshima kubwa...wanajeshi wamejitolea kufa kwa ajili ya nchi, na wameapa kufa kuilinda nchi...hivyo ni lazima tuwape somesort of motisha...tunawaheshimu...tunasema wewe askari wa JWTZ unatulinda, kazi yako ni kubwa na uko tayari kufa kwa ajili yetu, kwa hiyo hatukutozi nauli...Mtu wa TRA hajaapa kufa kwa ajili ya nchi, wala mwanasiasa, wala mwandishi wa habari, wala mcheza sinema...Kuapa kufa kwa ajili ya nchi siyo suala la mchezo hata kidogo...Askari yupo kazini mahali pote au popote pale...jambazi akiibuka ndani ya daladala na kutaka kupora watu askari au polisi anakuwa kazini immediately kumdhibiti jambazi huyo....wahuni na magaidi wakitaka kuleta fyoko fyoko ndani ya basi la mwendokasi kama yupo askari wa JW au polisi analazimika kujitoa mhanga kuwalinda raia wengine. Raia anakuwa salama pale askari anapokuwepo karibu. Ni vizuri tuwapende askari wetu. Ni kazi sensitive.

Wanafunzi wetu wana utaratibu wa kulipa nauli kwa punguzo....ila kama mambo yakiwa mazuri wanaweza pia kupanda bure kwa utaratibu mzuri wa kuwa na mabasi yao....kuna kazi nyingine nazo ni muhimu kama vile waalimu wanaoelimisha jamii yetu...nao tunawaheshimu...nao tunaweza tukasema, kama alivyojaribu kufanya RC Makonda kwa Dar es Slaam, kwamba ninyi waalimi ni watu muhimu, tunawamotisha kwa kazi yenu nzuri kwa nchi na taifa letu...msilipe nauli...ni lazima tuheshimu profession muhimu...tusizidharau...

Kuwa askari ni kazi kubwa...Askari haogopi ovyo ovyo..siyo kama mwanamuziki mmoja wa kizazi kipya alipooneshwa bastola tu mahali fulani alikimbia na kupotea kwa muda katika eneo hilo
Kwa hiyo..
1/Wakiingia baa wanywe pia bure.
2/Wakiingia Hotelini wale bure.
3/Wakiingia gesti walale bure.
4/Ndege pia wapande bure.
5/Sokoni wapewe mboga bure.
6/Madukani wapewe bure.

Kama logic ya kupanda mabasi bure ni kuwa maaskari ni watu muhimu sana na wametoa maisha yao kwa ajili ya taifa letu, basi itumike katika nyanja zote za kimaisha ili iwe na mantiki.
 
Kwa Nini unakaa nyumba ya serikali bure wakati unalipwa mshahara? (Kiujumla hizo zinaitwa motisha).
 
Kaulize pale Central Police au Lugalo Military Camp ama pale Ngome utapewa majibu mubashara kabisa.

Ila usisahau kuleta mrejesho hapa JF.
Mwache akarushwe kichura, wala hatakuja kukupa mrejesho wowote.
 
Polisi na wanajeshi ni watumishi kama watumishi wengine. Wakati mwingine wao wanalipwa mishahara mikubwa na marupurupu mengi kuliko watumishi wengine.
Swali langu ni kuwa kwanini watu hawa wanasafiri bure hasa kwenye madalalada? Lengo la kuwafanya wasafiri bure ninini?
Je lengo ni kuwamotisha? Mbona huduma nyingine wanalipa?
Ni kuwazubaisha? Ili waone wanapendelewa huku haki zao zikibinywa?
Inakuaje wanafunzi ambao hawaingizi kipato chochote walipe nauli na wanajeshi wanaolipwa mishara wasilipe nauli? Hii ni sawa kweli?
Acha wivu na wewe si uvae gwanda??kama huna njoo nikupe langu na wewe upande free
 
Ni kama motisha kwa sababu ya majukumu yao..Ukumbuke au tukumbuke kuwa kazi za Jeshi na polisi ni sensitive na ambapo muda wote anakuwa kazini kwa hiyo ukimuona askari ujue yupo kazini.. Na wasiotozwa nauli, ninavyofahamu mimi, ni wale ambao wako kwenye uniform au sare za kazi...ukivaa kama raia yaani pasipo kuwa na sare askari atalazimika kulipa nauli labda yeye mwenyewe ajitambulishe na kwa staha na siyo kushurutisha...Polisi na jeshi ni vyombo vya dola na vina heshima kubwa...ukivaa uniform ya jeshi au polisi ni heshima kubwa...wanajeshi wamejitolea kufa kwa ajili ya nchi, na wameapa kufa kuilinda nchi...hivyo ni lazima tuwape somesort of motisha...tunawaheshimu...tunasema wewe askari wa JWTZ unatulinda, kazi yako ni kubwa na uko tayari kufa kwa ajili yetu, kwa hiyo hatukutozi nauli...Mtu wa TRA hajaapa kufa kwa ajili ya nchi, wala mwanasiasa, wala mwandishi wa habari, wala mcheza sinema...Kuapa kufa kwa ajili ya nchi siyo suala la mchezo hata kidogo...Askari yupo kazini mahali pote au popote pale...jambazi akiibuka ndani ya daladala na kutaka kupora watu askari au polisi anakuwa kazini immediately kumdhibiti jambazi huyo....wahuni na magaidi wakitaka kuleta fyoko fyoko ndani ya basi la mwendokasi kama yupo askari wa JW au polisi analazimika kujitoa mhanga kuwalinda raia wengine. Raia anakuwa salama pale askari anapokuwepo karibu. Ni vizuri tuwapende askari wetu. Ni kazi sensitive.

Wanafunzi wetu wana utaratibu wa kulipa nauli kwa punguzo....ila kama mambo yakiwa mazuri wanaweza pia kupanda bure kwa utaratibu mzuri wa kuwa na mabasi yao....kuna kazi nyingine nazo ni muhimu kama vile waalimu wanaoelimisha jamii yetu...nao tunawaheshimu...nao tunaweza tukasema, kama alivyojaribu kufanya RC Makonda kwa Dar es Slaam, kwamba ninyi waalimi ni watu muhimu, tunawamotisha kwa kazi yenu nzuri kwa nchi na taifa letu...msilipe nauli...ni lazima tuheshimu profession muhimu...tusizidharau...

Kuwa askari ni kazi kubwa...Askari haogopi ovyo ovyo..siyo kama mwanamuziki mmoja wa kizazi kipya alipooneshwa bastola tu mahali fulani alikimbia na kupotea kwa muda katika eneo hilo
Watu wengine pia wanakazi sensitive.. Basi hii haikuangaliwa kwa macho mawili.hta daktari nae ana kazi sensitive.
 
Acha wivu na wewe si uvae gwanda??kama huna njoo nikupe langu na wewe upande free
Kwanini bure kwenye daladala tu?hiyo Pia ni biashara Kama duka,tax,bodaboda,n.k ambako huwa mnalipa. Acheni kuwaonea wenye daladala
 
Mkuu mimi hata sishangai, unakuta mtu kama waziri anapata mshahara wa zaidi ya 20m@month lakini anakaa nyumba, ya bure huduma kama umeme, maji na mlinzi analipiwa na serekali. Wakienda hata sehemu za burudani wanaingia bure, kibaya zaidi hata wapambe wanaokuwa nao pia wanaingia bure. Halafu eti wanasimama mbele ya watu pila aibu wanasema wamejitolea kupigania wanyonge. Pumbavu kabisa unapata mshahara wote huo na huduma za bure kisha unasema umejitolea kupigania wanyonge!?
Mkuu umesema yote
Ni utaratibu mbovu ndio maana tunazidi kuwa masikini
Nchi za Magharibi kazi ya Police ni sawa na kazi zingine tu.
Police atalipa nauli kama raia wengine uzuri wenzetu huruhusiwi kutembea na vazi la police ovyo ovyo only if upo kazini. Wanajilipia nyumba na gharama zingine si wanalipwa mishahara

Bora Mkoloni arudi black point period!....... tumeshindwa kujiendesha
 
Ni kama motisha kwa sababu ya majukumu yao..Ukumbuke au tukumbuke kuwa kazi za Jeshi na polisi ni sensitive na ambapo muda wote anakuwa kazini kwa hiyo ukimuona askari ujue yupo kazini.. Na wasiotozwa nauli, ninavyofahamu mimi, ni wale ambao wako kwenye uniform au sare za kazi...ukivaa kama raia yaani pasipo kuwa na sare askari atalazimika kulipa nauli labda yeye mwenyewe ajitambulishe na kwa staha na siyo kushurutisha...Polisi na jeshi ni vyombo vya dola na vina heshima kubwa...ukivaa uniform ya jeshi au polisi ni heshima kubwa...wanajeshi wamejitolea kufa kwa ajili ya nchi, na wameapa kufa kuilinda nchi...hivyo ni lazima tuwape somesort of motisha...tunawaheshimu...tunasema wewe askari wa JWTZ unatulinda, kazi yako ni kubwa na uko tayari kufa kwa ajili yetu, kwa hiyo hatukutozi nauli...Mtu wa TRA hajaapa kufa kwa ajili ya nchi, wala mwanasiasa, wala mwandishi wa habari, wala mcheza sinema...Kuapa kufa kwa ajili ya nchi siyo suala la mchezo hata kidogo...Askari yupo kazini mahali pote au popote pale...jambazi akiibuka ndani ya daladala na kutaka kupora watu askari au polisi anakuwa kazini immediately kumdhibiti jambazi huyo....wahuni na magaidi wakitaka kuleta fyoko fyoko ndani ya basi la mwendokasi kama yupo askari wa JW au polisi analazimika kujitoa mhanga kuwalinda raia wengine. Raia anakuwa salama pale askari anapokuwepo karibu. Ni vizuri tuwapende askari wetu. Ni kazi sensitive.

Wanafunzi wetu wana utaratibu wa kulipa nauli kwa punguzo....ila kama mambo yakiwa mazuri wanaweza pia kupanda bure kwa utaratibu mzuri wa kuwa na mabasi yao....kuna kazi nyingine nazo ni muhimu kama vile waalimu wanaoelimisha jamii yetu...nao tunawaheshimu...nao tunaweza tukasema, kama alivyojaribu kufanya RC Makonda kwa Dar es Slaam, kwamba ninyi waalimi ni watu muhimu, tunawamotisha kwa kazi yenu nzuri kwa nchi na taifa letu...msilipe nauli...ni lazima tuheshimu profession muhimu...tusizidharau...

Kuwa askari ni kazi kubwa...Askari haogopi ovyo ovyo..siyo kama mwanamuziki mmoja wa kizazi kipya alipooneshwa bastola tu mahali fulani alikimbia na kupotea kwa muda katika eneo hilo
Kwa hiyo sisi tunaolipa nauli hatuna heshima?
 
Polisi na wanajeshi ni watumishi kama watumishi wengine. Wakati mwingine wao wanalipwa mishahara mikubwa na marupurupu mengi kuliko watumishi wengine.
Swali langu ni kuwa kwanini watu hawa wanasafiri bure hasa kwenye madalalada? Lengo la kuwafanya wasafiri bure ninini?
Je lengo ni kuwamotisha? Mbona huduma nyingine wanalipa?
Ni kuwazubaisha? Ili waone wanapendelewa huku haki zao zikibinywa?
Inakuaje wanafunzi ambao hawaingizi kipato chochote walipe nauli na wanajeshi wanaolipwa mishara wasilipe nauli? Hii ni sawa kweli?
Ndugu yangu askari yeyote anapokua kwny sare za kazi hawezi kulipa nauli sababu yuko kazini dhahiri,anakulinda wewe na mali mnazomiliki.
Sababu ya pili kuwa wananchi wote wanatakiwa kuheshimu ile kofia yenye nembo huwez kuidai nauli crown.hapo hakuna suala la motisha.
Askar anapokua hayupo kwny sare za kazi atalipa nauli kama raia wengine na hapaswi kujitambulisha ovyo sabab kitambulisho chake hakionyeshwi bila sababu za msingi.wapo askari wengi ambao hawavai sare wao hulipa kama kawaida.
 
Mwache akarushwe kichura, wala hatakuja kukupa mrejesho wowote.

Majimengi ,
Mkuu,
Acha kumtisha jamaa bure.
Wala hakuna kichura wala kimbuzi.

Yeye, aende tu ofisi yao yoyote ile atapata majibu sahihi.

Kisha atuletee mrejesho mubashara hapa JF.
 
Wanaulizaga "Hivi kuna Nafasi Humu"??


Hapo ujue ukisema Ndio .... Hiyo ndo lift yenyewe
 
Back
Top Bottom