Madihani
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 5,973
- 6,606
Wazazi maskini ushauri wao kwa watoto ni kuhusu umaskini tu, mfano utawasikia Wakinga wanaroga ndomaana wanafanikiwa au Wachaga wezi ndomaana wanafanikiwa.
Mzazi anawaambia watoto mambo ya kufikirika.
Mimi ni Mkinga najua maskini wengi hawajitumi na sio wabunifu wao wanafikiri waliofanikiwa ni Freemason au wametoa kafara. Bahati mbaya wazazi maskini huwakaririsha ujinga huu watoto wao.
Mzazi anawaambia watoto mambo ya kufikirika.
Mimi ni Mkinga najua maskini wengi hawajitumi na sio wabunifu wao wanafikiri waliofanikiwa ni Freemason au wametoa kafara. Bahati mbaya wazazi maskini huwakaririsha ujinga huu watoto wao.