Kwanini walimu bongo wanapuuzwa?

drmkumba

Member
Dec 27, 2010
52
1
Akiwa ziarani mkoani Rukwa waziri mkuu amekemea tabia za halmashahuri nchini kuchelewesha malipo ya mishahara na madai mengine ya walimu.Kwakweli taaluma ya ualimu inakatisha tamaa.Je ni kwanini walimu ambao ni chimbuko la wataalam wote duniani hapa kwetu wasithaminiwe? Kwa staili hii tunachakachua elimu.Je tutafika?
 
lawama nambari moja ni kwa JAMII YETU na si serikali....serikali inabeba pongezi zote kuanzia kuwasomesha walimu mpaka kufanikiwa kuwatawanya kwenye kila pembe ya nchi yetu... TATIZO NI JAMII YETU NDO HAITHIMINI WALIMU PAMOJA NA MICHANGO YAO.....HAKUNA FAMILIA WELL-OFF AMBAYO INAPELEKA KIJANA WAKE HATA NJE YA NCHI KUSOMEA UALIMU..... NI JAMII HII HIII INAYOPIGA KELELE IKIBEZA JUHUDI ZA SERIKALI ILHALI YENYEWE IKIKWEPA KILA JUKUMU HUSIKA KATIKA MAENDELEO YA SEKTA HII ADIMU...!
JAMII IMEFANYA NINI KUSAIDIA WALIMU NDIPO TUPATE MAWE YA KUITUPIA SERIKALI?
Mwalimu MAHESABU
 
Tatizo ninaloliona mimi ni kwamba taaluma ya ualimu hasa kwenye institutions ndogo ndogo (nje ya vyuo vikuu) imeachwa ionekane kama ajira ya watu walioshindwa kuendelea na masomo! Ndiyo maana utaona siku hizi kumpata mtu anayependa ualimu naturally ni very rare na badala yake mtu anakwenda kwenye ualimu kama last resort of the life baada ya ku-lose out kwenye nyanja nyingine! Hii ina sababisha hata wale ambao walitakiwa kujiamini wanakuwa wadhaifu na wanaona kama vile kupata kazi ya ualimu ni upendeleo kwake, na kwa jinsi hii hawezi hata kutetea haki zake kwa uwazi ila kwa manungúniko tu! Kinachofuata ni kupuuzwa na wale ambao wanastahili kuwaheshimu! Wakijiamini kwenye ajira hii bila kuona kama ni kukarimiwa they will stand tall for their rights na taaluma itaheshimika lakini with the status-quo, mmh uh, sioni mabadiliko! Wataendelea kupuuzwa na wadau wenye uelewa wenye makengeza na matege kwani ina they don't make it look like a venerated job!
 
Back
Top Bottom