Utafiti nilioufanya umebaini hilo. Naombeni na maoni yenu!
Sisi waafrika tutambue kwamba hizi dini tulizonazo zimeletwa na wageni kutoka nje ya bara letu. Amini usiamini hawakutuletea dini hizi ili tufike mbinguni. Ni ujinga uliotukuka kupokea utaratibu wa maisha wa kiimani(dini) kutoka kwa wageni halafu ukajiona umepatia na kumtenga ndugu yako aliyechukua utaratibu tofauti na wako.Ndio maana kanisa linawapigia chapuo LOWASA au SLAA
Kwa sababu kiukweli hii ni zamu ya wazanzibari,nadhani waislam na wapenda haki na wapenda muungano wote wanatetea haki ya wazanzibari dhidi ya dhulma ya wa bara!
wameonewa sana wameskitika sana sasa wanaitaka haki yao..
Kwa sababu kiukweli hii ni zamu ya wazanzibari,nadhani waislam na wapenda haki na wapenda muungano wote wanatetea haki ya wazanzibari dhidi ya dhulma ya wa bara!
wameonewa sana wameskitika sana sasa wanaitaka haki yao..
kwa sababu kiukweli hii ni zamu ya wazanzibari,nadhani waislam na wapenda haki na wapenda muungano wote wanatetea haki ya wazanzibari dhidi ya dhulma ya wa bara!
Wameonewa sana wameskitika sana sasa wanaitaka haki yao..
wamechoka kuwa na makamu ambaye kazi yake kuwa ni kufungua majengo na semina tu kwa kipindi chote cha awamu mbili za mwisho za utawala wa tanganyika