Wanaotakiwa kuwa shule ili baadae wawe viongozi na watawala tayari wako shule na shule zao sio hizi anazosimamia Kawambwa na Nagu. Unaona wanasoma vizuri tu. Wanakuwa Wabunge halafu wanateuliwa kuwa manaibu au mawaziri kamili kutegemea na uzito wa mzazi wake.HIvi inawezekana kuwa na mafanikio katika nyanja nyingine bila kuwa na mafanikio katika elimu?
Sikutaka kulileta hili lakini inaonekana sina ujanja. Katika kikao kilichopita wabunge wetu wengi walionekana kukerwa zaidi na ripoti za CAG na zile za kamati kuhusiana na mambo mbalimbali. Wizara kadhaa zilinyoshewa kidole na hatimaye mawaziri wake wakaondolewa. Hata hivyo, binafsi naamini hakuna kashfa yenye madhara ya moja kwa moja na ya kudumu kama iliyoko kwenye elimu.
KUanzia elimu ya msingi na sekondari kuna changamoto ambazo kwa kweli ni dhambi kwa watoto wetu. Cha kuudhi zaidi inaonekana wabunge wetu wamekubali hali ilivyo na sijasikia wengi wakitaka waziri wa elimu Bw. Shukuru Kawambwa awajibike pia kama walivyowajibishwa wale wa sekta ya afya. Ni kwanini? Ni kweli hawajaona uovu uliopo kwenye sekta hiyo? ni kweli wabunge wetu hawajaona hali ilivyo kwenye shula za kata na mamia ya shule za msingi vijijini na mijini?
Hivi, inakuwaje Ngeleja anawajibishwa lakini Kawambwa anaachwa? Ni kweli sekta ya nishati ina umuhimu mkubwa kuliko elimu? Ni kweli madhara ya kukosa umeme wa kudumu kwa asilimia 14 ya wananchi wetu ni makubwa zaidi kuliko kukosa elimu bora na mazingira bora kwa asilimia zaidi ya tisini ya watoto wetu? Ni kweli kwamba wabunge wetu hawajasoma ripoti mbalimbali za elimu ambazo zimetolewa na CAG taasisi nyingine.
Kwanini, hata upinzani hauonekani kukerwa na kushindwa kwa sera ya elimu ya serikali ya chama cha mapinduzi na badala yake na wao wako kimya kutaka watu wawajibike? Hivi ni mpaka walimu na wanafunzi nao wagome ndio tutajua kweli kuwa tatizo letu ni kubwa kuliko tunavyodhania?
Watoto gani?
Hawa wanaovaa suruali za Pink mlegezo, viatu vya ulimi? na vi skin tight wanazunguza mitaani mida ya shule?
Nadhani wakuwajibishwa ni wazazi!
Sikutaka kulileta hili lakini inaonekana sina ujanja. Katika kikao kilichopita wabunge wetu wengi walionekana kukerwa zaidi na ripoti za CAG na zile za kamati kuhusiana na mambo mbalimbali. Wizara kadhaa zilinyoshewa kidole na hatimaye mawaziri wake wakaondolewa. Hata hivyo, binafsi naamini hakuna kashfa yenye madhara ya moja kwa moja na ya kudumu kama iliyoko kwenye elimu.
KUanzia elimu ya msingi na sekondari kuna changamoto ambazo kwa kweli ni dhambi kwa watoto wetu. Cha kuudhi zaidi inaonekana wabunge wetu wamekubali hali ilivyo na sijasikia wengi wakitaka waziri wa elimu Bw. Shukuru Kawambwa awajibike pia kama walivyowajibishwa wale wa sekta ya afya. Ni kwanini? Ni kweli hawajaona uovu uliopo kwenye sekta hiyo? ni kweli wabunge wetu hawajaona hali ilivyo kwenye shula za kata na mamia ya shule za msingi vijijini na mijini?
Hivi, inakuwaje Ngeleja anawajibishwa lakini Kawambwa anaachwa? Ni kweli sekta ya nishati ina umuhimu mkubwa kuliko elimu? Ni kweli madhara ya kukosa umeme wa kudumu kwa asilimia 14 ya wananchi wetu ni makubwa zaidi kuliko kukosa elimu bora na mazingira bora kwa asilimia zaidi ya tisini ya watoto wetu? Ni kweli kwamba wabunge wetu hawajasoma ripoti mbalimbali za elimu ambazo zimetolewa na CAG taasisi nyingine.
Kwanini, hata upinzani hauonekani kukerwa na kushindwa kwa sera ya elimu ya serikali ya chama cha mapinduzi na badala yake na wao wako kimya kutaka watu wawajibike? Hivi ni mpaka walimu na wanafunzi nao wagome ndio tutajua kweli kuwa tatizo letu ni kubwa kuliko tunavyodhania?
Mkuu, mimi kama mdau wa Elimu, naumizwa sana na ukurupukaji wa mipango ya sector ya elimu nchini, lakini pia na priority ndogo inayopewa sector ya elimu.HIvi inawezekana kuwa na mafanikio katika nyanja nyingine bila kuwa na mafanikio katika elimu?
Me naona wabunge wetu hawako makini na jambo la elimu,yaani elimu kwao haina umuhimu kabisaa na ndio maana wabunge wengi ni vilaza,hili swala la elimu linatakiwa lianze kupigiwa kelele na sisi wenyewe majimboni kwetu,kwa sababu bungeni wanalikwepa kana kwamba halina umuhimu.
oWOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOTESikutaka kulileta hili lakini inaonekana sina ujanja. Katika kikao kilichopita wabunge wetu wengi walionekana kukerwa zaidi na ripoti za CAG na zile za kamati kuhusiana na mambo mbalimbali. Wizara kadhaa zilinyoshewa kidole na hatimaye mawaziri wake wakaondolewa. Hata hivyo, binafsi naamini hakuna kashfa yenye madhara ya moja kwa moja na ya kudumu kama iliyoko kwenye elimu.
KUanzia elimu ya msingi na sekondari kuna changamoto ambazo kwa kweli ni dhambi kwa watoto wetu. Cha kuudhi zaidi inaonekana wabunge wetu wamekubali hali ilivyo na sijasikia wengi wakitaka waziri wa elimu Bw. Shukuru Kawambwa awajibike pia kama walivyowajibishwa wale wa sekta ya afya. Ni kwanini? Ni kweli hawajaona uovu uliopo kwenye sekta hiyo? ni kweli wabunge wetu hawajaona hali ilivyo kwenye shula za kata na mamia ya shule za msingi vijijini na mijini?
Hivi, inakuwaje Ngeleja anawajibishwa lakini Kawambwa anaachwa? Ni kweli sekta ya nishati ina umuhimu mkubwa kuliko elimu? Ni kweli madhara ya kukosa umeme wa kudumu kwa asilimia 14 ya wananchi wetu ni makubwa zaidi kuliko kukosa elimu bora na mazingira bora kwa asilimia zaidi ya tisini ya watoto wetu? Ni kweli kwamba wabunge wetu hawajasoma ripoti mbalimbali za elimu ambazo zimetolewa na CAG taasisi nyingine.
Kwanini, hata upinzani hauonekani kukerwa na kushindwa kwa sera ya elimu ya serikali ya chama cha mapinduzi na badala yake na wao wako kimya kutaika watu wawajibike? Hivi ni mpaka walimu na wanafunzi nao wagome ndio tutajua kweli kuwa tatizo letu ni kubwa kuliko tunavyodhania?
...Ukiwa kama mwananchi wa kawaida, utaudhika kwenye lipi, umeme ukikatika kila siku masaa 12 kwa miezi miwili, au mtoto mmoja mtaani asipoenda shule kwa utoro na au kumaliza darasa la saba akiwa hajui kusoma wala kuandika, tena jina lake?.Hivi, inakuwaje Ngeleja anawajibishwa lakini Kawambwa anaachwa? Ni kweli sekta ya nishati ina umuhimu mkubwa kuliko elimu? Ni kweli madhara ya kukosa umeme wa kudumu kwa asilimia 14 ya wananchi wetu ni makubwa zaidi kuliko kukosa elimu bora na mazingira bora kwa asilimia zaidi ya tisini ya watoto wetu? Ni kweli kwamba wabunge wetu hawajasoma ripoti mbalimbali za elimu ambazo zimetolewa na CAG taasisi nyingine.
...Sera haijashindwa. Uchambuzi na vigezo vilivyotumika kuonyesha sera imeshindwa vi wapi?. Watu ndio wameshindwa!Kwanini, hata upinzani hauonekani kukerwa na kushindwa kwa sera ya elimu ya serikali ya chama cha mapinduzi na badala yake na wao wako kimya kutaka watu wawajibike? Hivi ni mpaka walimu na wanafunzi nao wagome ndio tutajua kweli kuwa tatizo letu ni kubwa kuliko tunavyodhania?
...Observation sahihi kabisa. Na nadhani tunaisahau hii mara kwa mara tunapojadili vitu kama hivi.wanapozungumzia sera ya elimu ya Tanzania hawaelewi wala kufeli kwa wanafunzi siyo kawambwa issue iko wazi serikali inawalipa waalimu mshara mdogo hivyo waalimu wanatumia muda mdogo mashuleni,yaani waalimu wa tanzania walishagoma miaka mingi iliyo pita hata utenge sera gani hali ni hivi hivi,marupu rupu kama taasisi nyingine