Full charge
JF-Expert Member
- Mar 1, 2018
- 1,555
- 1,439
Ndugu zangu wana JF ningependa kujua juu ya hawa ndugu zetu Waarabu na Wahindi, kwanini wao wanapowataka dada zetu wanaoa tena bila sisi kuwatilia masharti ila linapokuja suala la sisi kutaka kuwaoa familia zao zinakataa?
Je, wao wanathamani sana kuliko sisi weusi? Je, dini walotuletea inakataza sisi kuoa kwao? Je nasisi tuwagomee maana naskia lakini eti dadaako akiolewa na mwarabu basi ujue familia yenu mmepata hasara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Je, wao wanathamani sana kuliko sisi weusi? Je, dini walotuletea inakataza sisi kuoa kwao? Je nasisi tuwagomee maana naskia lakini eti dadaako akiolewa na mwarabu basi ujue familia yenu mmepata hasara.
Sent using Jamii Forums mobile app