Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,324
- 5,934
Naposema Waarabu wana roho nzuri, wana imani, namaanisha kweli!
Mara nyingi huwa nasema hakuna jamii hapa duniani watu wake wakarimu, wana imani na roho nzuri kama waarabu, namaanisha kweli. Wengi wao wamejaaliwa haswaa
Hizi clip zimetrend mitandao mingi, kwa wale wabaguzi, wenye chuki dhidi ya waarabu, pia ni wadini clip hizi ziwafikie huko mlipo, au tayari mmeshaziona, mmekausha sio!, poleni sana, sijui mtaonyesha wapi sura zenu, sijui mtakuja na neno gani kwa Sol de Mayo, kiboko ya wenye chuki!
View: https://www.instagram.com/p/C0WMCbDKsMv/?igshid=MzRlODBiNWFlZA==
View: https://www.instagram.com/p/C0Z3U4Ar53x/?igshid=MzRlODBiNWFlZA==
Huu ni mfano tu kwa jamii ya waarabu, ila kuna mengi mazuri ya kuwapongeza hawa ndugu zetu waarabu. Mungu awabariki sana, natumaini tutaiga mienendo/mifano yao
Wale mnaotesa mahouse girl naomba mnisikilize kwa makini! igeni kutoka kwa hawa ndugu zetu waarabu, ishini na wafanyakazi kwa wema, na sio kumnyanyasa nakumpiga na isitoshe mshahara mnawapa kiduchu, sio poa aise, na Mwenyezi Mungu hapendi myafanyayo.
Mara nyingi huwa nasema hakuna jamii hapa duniani watu wake wakarimu, wana imani na roho nzuri kama waarabu, namaanisha kweli. Wengi wao wamejaaliwa haswaa
Hizi clip zimetrend mitandao mingi, kwa wale wabaguzi, wenye chuki dhidi ya waarabu, pia ni wadini clip hizi ziwafikie huko mlipo, au tayari mmeshaziona, mmekausha sio!, poleni sana, sijui mtaonyesha wapi sura zenu, sijui mtakuja na neno gani kwa Sol de Mayo, kiboko ya wenye chuki!
View: https://www.instagram.com/p/C0WMCbDKsMv/?igshid=MzRlODBiNWFlZA==
View: https://www.instagram.com/p/C0Z3U4Ar53x/?igshid=MzRlODBiNWFlZA==
Huu ni mfano tu kwa jamii ya waarabu, ila kuna mengi mazuri ya kuwapongeza hawa ndugu zetu waarabu. Mungu awabariki sana, natumaini tutaiga mienendo/mifano yao
Wale mnaotesa mahouse girl naomba mnisikilize kwa makini! igeni kutoka kwa hawa ndugu zetu waarabu, ishini na wafanyakazi kwa wema, na sio kumnyanyasa nakumpiga na isitoshe mshahara mnawapa kiduchu, sio poa aise, na Mwenyezi Mungu hapendi myafanyayo.