Tarehe 9.11.2023, nilifanya oral interview pale Asha rose migiro Psrs Dodoma.
Imetimia miezi 3 bila majibu yoyote ya waliopata au kukosa, ni jambo zuri kujua majibu ya ulichofanya iwe ni hasi au chanya kwa sababu ya muda na rasilimali zilizotumika kufika kwenye usaili zinathibitisha uhalali wa kupata majibu.
Imetimia miezi 3 bila majibu yoyote ya waliopata au kukosa, ni jambo zuri kujua majibu ya ulichofanya iwe ni hasi au chanya kwa sababu ya muda na rasilimali zilizotumika kufika kwenye usaili zinathibitisha uhalali wa kupata majibu.