Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Tarehe 9.11.2023, nilifanya oral interview pale Asha rose migiro Psrs Dodoma.
Imetimia miezi 3 bila majibu yoyote ya waliopata au kukosa, ni jambo zuri kujua majibu ya ulichofanya iwe ni hasi au chanya kwa sababu ya muda na rasilimali zilizotumika kufika kwenye usaili zinathibitisha uhalali wa kupata majibu.
 
Tarehe 9.11.2023, nilifanya oral interview pale Asha rose migiro Psrs Dodoma.
Imetimia miezi 3 bila majibu yoyote ya waliopata au kukosa, ni jambo zuri kujua majibu ya ulichofanya iwe ni hasi au chanya kwa sababu ya muda na rasilimali zilizotumika kufika kwenye usaili zinathibitisha uhalali wa kupata majibu.
Watu ua wanaitwa kazini toka interview ya mwaka 2022 ua huoni? Hapo bado
 
Back
Top Bottom