ANoblePerson
JF-Expert Member
- Sep 30, 2023
- 378
- 537
Tupo wengi Mkuu naona tuendelee Kuwait tuIla utumishi mtatuuwa, mbona kada yangu kila mkeka sioni jina lolote dah.
Tupo wengi Mkuu naona tuendelee Kuwait tuIla utumishi mtatuuwa, mbona kada yangu kila mkeka sioni jina lolote dah.
Noma sana😁Ila utumishi mtatuuwa, mbona kada yangu kila mkeka sioni jina lolote dah.
Hongera sana mkuu kila la kheri kwenye majukumu yako mapya
NDUGU ZANGU MACHOZI YA FURAHA YAMENITIRIRIKA, HATIMAE MUNGU AMESIKIA DUA ZANGU , WAKUU NIMETOBOA
hongera kaka.mtuletee zabibuNdugu yenu pia hii ni December to Remember Mungu amenitendea.
Nawasihi msikate tamaa pambaneni.
Hongera IT wetu wa mchongo, Sema ulikuwa na beat sana mpk nikadhan mtu wa system kumbe ndo ulikuwa unapga ramliNDUGU ZANGU MACHOZI YA FURAHA YAMENITIRIRIKA, HATIMAE MUNGU AMESIKIA DUA ZANGU , WAKUU NIMETOBOA
muwe mnatutumia ela ya bando majobless wastaafu..Wakuu nikitulia nitajibu majibu yote.... But nina uhakika wa Asilimia 75. % account yako isipobadirika lazima urambe asali...tena wanyuki wadogo.
Nitatoa technic pia nilifanyaje nikaweza kutoboa written , practical na oral.... Japo najua oral sikuwa nimejibu kwa ufasaha sana but confidence matter.
Nilifanya interview 2, moja nilifika practical nikatoka kwenye game...hii ndio nikadoboa....
Pia kwenye hizi mishe ,Pia tusisahau kuomba wakuu...mungu yupo , omba na sali kwa imani utapata tu...japo kuwa kuna muda imani inakatika ila kile ni huwa kipimo.
Nikitulia nitajibu comment ya mmoja mmoja na taasisi gani nimepata.. ila sio halmashauri wakuu... Siku ya ku report nitapiga hadi picture ya kazi kwangu.
RE-ADVETISED Nyingiiimalecturer wameshakimbia vyuo uko.muende mkaongeze received..
Utuletee uhakika wa mada yetu pendwa ya status mkuu, uwaulize na uko hao ma IT najua mnalugha zenu za kitechnical zaidWakuu nikitulia nitajibu majibu yote.... But nina uhakika wa Asilimia 75. % account yako isipobadirika lazima urambe asali...tena wanyuki wadogo.
Nitatoa technic pia nilifanyaje nikaweza kutoboa written , practical na oral.... Japo najua oral sikuwa nimejibu kwa ufasaha sana but confidence matter.
Nilifanya interview 2, moja nilifika practical nikatoka kwenye game...hii ndio nikadoboa....
Pia kwenye hizi mishe ,Pia tusisahau kuomba wakuu...mungu yupo , omba na sali kwa imani utapata tu...japo kuwa kuna muda imani inakatika ila kile ni huwa kipimo.
Nikitulia nitajibu comment ya mmoja mmoja na taasisi gani nimepata.. ila sio halmashauri wakuu... Siku ya ku report nitapiga hadi picture ya kazi kwangu.
Asante, Yote kwa yote usisahau kutuma kapicha ka hiyo masjala ya wazi Mkuu.Wakuu nikitulia nitajibu majibu yote.... But nina uhakika wa Asilimia 75. % account yako isipobadirika lazima urambe asali...tena wanyuki wadogo.
Nitatoa technic pia nilifanyaje nikaweza kutoboa written , practical na oral.... Japo najua oral sikuwa nimejibu kwa ufasaha sana but confidence matter.
Nilifanya interview 2, moja nilifika practical nikatoka kwenye game...hii ndio nikadoboa....
Pia kwenye hizi mishe ,Pia tusisahau kuomba wakuu...mungu yupo , omba na sali kwa imani utapata tu...japo kuwa kuna muda imani inakatika ila kile ni huwa kipimo.
Nikitulia nitajibu comment ya mmoja mmoja na taasisi gani nimepata.. ila sio halmashauri wakuu... Siku ya ku report nitapiga hadi picture ya kazi kwangu.
duhh.hivi ulecturer ni asali ya nyuki wadogo au wakubwa..?RE-ADVETISED Nyingiii
Naona shida itakuwa GPA ni kikwazo pia
Asali ya kati mkuuduhh.hivi ulecturer ni asali ya nyuki wadogo au wakubwa..?
ahh ndio maana kila siku wanazitangaza..Asali ya kati mkuu
Hivi nafasi ikiwa Re advertised Ina maana mchakato wake wa interview utakuwa wa haraka zaidi tofauti na nafasi nyingine?ahh ndio maana kila siku wanazitangaza..
Wadogo aisee maana T.A anakunja 1.6-1.8m basic kutegemeana na kozi. Huwezi fananisha na salary za tgsduhh.hivi ulecturer ni asali ya nyuki wadogo au wakubwa..?