Theophili
JF-Expert Member
- Mar 11, 2016
- 351
- 536
uhakika ni tra mzee. watu walipata wametumiwaHizo email zina ukakasiii,wana uhakika zimetoka TRA kweli?
uhakika ni tra mzee. watu walipata wametumiwaHizo email zina ukakasiii,wana uhakika zimetoka TRA kweli?
Kutumiwa email haimaanishi aliektumia ni authentic sender,nina was was na hizo emails ni spamuhakika ni tra mzee. watu walipata wametumiwa
TRA Yani watu hawaelewi kama majibu ni yametoka au bado, Ila nimeskia yametoka na wanatakiwa kureport tar 8 December Kwa hio post niliyoona.Hizo email zina ukakasiii,wana uhakika zimetoka TRA kweli?
Mambo ni mengi ,hatujazoea tumezoea PDFKutumiwa email haimaanishi aliektumia ni authentic sender,nina was was na hizo emails ni spam
haha watoe pdf bwana haya mambo ha email hatujazoea bwanaMambo ni mengi ,hatujazoea tumezoea PDF
Yawezekana baadae watatoa mkeka labdahaha watoe pdf bwana haya mambo ha email hatujazoea bwana
tracareers@tra.go.tz hii inaweza kuwa spam email ??Kutumiwa email haimaanishi aliektumia ni authentic sender,nina was was na hizo emails ni spam
ile email iliyokuwa inatoa update tangu mwanzo wa mchakato ndio hiyo iliyoita watu kazini. mim sikuwa shortlist kwenye interviiew nikatumiwa email na aliyepata kanionesha hiyo email. yaani kwa kifupi ni email kutoka tra sio spamKutumiwa email haimaanishi aliektumia ni authentic sender,nina was was na hizo emails ni spam
Hii haiwezi kuwa kanjanja.tracareers@tra.go.tz hii inaweza kuwa spam email ??
Tuone hio email.ile email iliyokuwa inatoa update tangu mwanzo wa mchakato ndio hiyo iliyoita watu kazini. mim sikuwa shortlist kwenye interviiew nikatumiwa email na aliyepata kanionesha hiyo email. yaani kwa kifupi ni email kutoka tra sio spam
Tunasubiri tuone lakini haziji
mimi pia nimeoneshwa mkuu. sijafanya interview za tra ila watu wangu wa kkaribu wamefanya na baadhi wamepataTuone hio email.
Format ya e-mail hizi ina ulakini, ni ngumu kuamini hizi kama ni official.Nimezikuta mahaliView attachment 2832666View attachment 2832668
Unafikiri hawaendi kisa kuna walakini lazima waendw hayo mambo mengine watajua baadae huko mbeleniBinafsi kwa mliofanya huo usaili huko TRA na mmetumiwa hizo Emails za kukutaka uripoti kituo Cha kazi ripotin haraka. Halafu Mambo mengine mtajua mkifika huko, wahini muwekwe kwenye payroll ya disemba. Hongereni nyote mliopata.
Ni kweli kuna utata mwingi kwenye hizi emailsFormat ya e-mail hizi ina ulakini, ni ngumu kuamini hizi kama ni official.
Mkuu tatizo watu wamezoea kuona Pdf, ndiyo maana wanapata walakini.Unafikiri hawaendi kisa kuna walakini lazima waendw hayo mambo mengine watajua baadae huko mbeleni
Nfkri ishu sio kutumiwa email but issue je hizi emails zntoka kwao TRA kwelii?au ni spamMkuu tatizo watu wamezoea kuona Pdf, ndiyo maana wanapata walakini.
Yaani waende tu itajulikana hukohuko