Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Habari inasema, Hazina wataruhusu mashirika kuajiri bila kuomba kibali UTUMISHI. Inahusianaje na PSRS kukaa pembeni? Mnataka muanze kupitishana watoto wa mjomba :D
Hapa ndio gap la mishahara kati ya taasisi na wizara/ halmashauri huanzia. Taasisi zikiwa na mamlaka kamili zinaweza kuamua tu kujiongezea mishahara na bodi ikipitisha basi kazi imeisha. Halmashauri hadi bunge lipitishe sio leo.
 
JKT tulikuwa tunaita mapuuza. Mkuu una mapuuza sana. Naomba radhi kama nitakukosea ila ni aibu msomi kukubali kukosa utambulisho wa aina yoyote ambao ni rasmi.

Vyeti vya uraia serikali mpka leo haizarishi hardcopy, leseni ya driving so muhimu kwa kila mtanzania ni optional, passport sijafanikisha kwa maana ya mazingira niliyopo yalikua ayaniruhusu kuwa na passport hyo kwa uharaka...so as whatever you can say I’m doing MAPUUZA as you say. Because what I’m passing through it’s only my GOD and my family know but if you will help me in any situation to get one among of the certificate that I haven’t....I’ll say thank ever
 
Vyeti vya uraia serikali mpka leo haizarishi hardcopy, leseni ya driving so muhimu kwa kila mtanzania ni optional, passport sijafanikisha kwa maana ya mazingira niliyopo yalikua ayaniruhusu kuwa na passport hyo kwa uharaka...so as whatever you can say I’m doing MAPUUZA as you say. Because what I’m passing through it’s only my GOD and my family know but if you will help me in any situation to get one among of the certificate that I haven’t....I’ll say thank ever

Sawa ndugu yangu umeongea kweli tupu. Masahihisho madogo ni kwamba leseni ni optional ila ni muhimu kwa ulimwengu wa sasa. Endapo hali itakuruhusu, tafadhali jaribu kuitafuta.

Pole pia kwa unayoyapitia, ila jitahidi yasikufanye kuwa mnyonge wala kutia huruma kwa sababu dunia inaukatili mwingi sana, hakuna mtu anajali. Pambana, pambana, pambana mpaka uone mwanga.
 
Vyeti vya uraia serikali mpka leo haizarishi hardcopy, leseni ya driving so muhimu kwa kila mtanzania ni optional, passport sijafanikisha kwa maana ya mazingira niliyopo yalikua ayaniruhusu kuwa na passport hyo kwa uharaka...so as whatever you can say I’m doing MAPUUZA as you say. Because what I’m passing through it’s only my GOD and my family know but if you will help me in any situation to get one among of the certificate that I haven’t....I’ll say thank ever

Mbali na yote hayo una hulka ya kujieleza eleza sana lakini pia umekosa utulivu hata kwa deatails chache unazopewa, hebu jikusanye na uweke u serious kidogo kama una usela mwingi tafuta balance.
 
Oya wanajamii wezangu , ety leo sijawa shortlist na utumishi kisa sija akiki cheti cha kuzaliwa kwa mwanasheria , lkn cheti changu nili akiki na Rita , sasa naanza kuona dhuluma ya utumishi.
Nmefanya saili 2 hadi leo ndio utumishi wakatae kuni shortlist kisa sija akiki chet kwa wakili akika hii ni dhuluma ya wazi kabisa.
Kama ndio njia waliotumia kupunguza watu sio sawa kabisa.
Dhuluma zimeanza mapemaa
Sioni kama ni dhuluma ni utaratibu wa kawaida tu. Hapo nipo na Utumishi
 
Hapa ndio gap la mishahara kati ya taasisi na wizara/ halmashauri huanzia. Taasisi zikiwa na mamlaka kamili zinaweza kuamua tu kujiongezea mishahara na bodi ikipitisha basi kazi imeisha. Halmashauri hadi bunge lipitishe sio leo.

Sijui serikali hua inawaza nini kwenye hili suala.
 
Mbali na yote hayo una hulka ya kujieleza eleza sana lakini pia umekosa utulivu hata kwa deatails chache unazopewa, hebu jikusanye na uweke u serious kidogo kama una usela mwingi tafuta balance.
Nilimuambia Mimi ,hiyo Interview Anayoenda Hatoboi Atakuja Kusema hapa watu wanapendelewa ...Sio Muelewa kabisa ,alafu yupo kama maharage yani anarukaruka muda wote
 
Nilimuambia Mimi ,hiyo Interview Anayoenda Hatoboi Atakuja Kusema hapa watu wanapendelewa ...Sio Muelewa kabisa ,alafu yupo kama maharage yani anarukaruka muda wote
Binafsi namuombea afanikiwe ila awe na utulivu hususani anapokuwa ameelekezwa maana furaha ya call for interview anatakiwa asipoteze ni kaumakini tuu kadogo atafanikiwa ndugu yetu.
 
Back
Top Bottom