El marabiosh
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 1,392
- 3,203
ukawe mtumishi mwema kaka..Wa Tanroads
ukawe mtumishi mwema kaka..Wa Tanroads
Wanaopitisha majina ya Ajira ni mwajiri ukiona majina wanachelewa shida Sio psrs Bali ni boss wako mpya .Dah ! ,Hawa jamaa wanakwama wapi kuita majina ya fani nyingine tulizofanya mwezi wa sita aisee ?
CDO wa mwezi wa saba washamaliza ila fani za mwezi wa sita hawajamaliza kuiita ,ni hapo ndio huwa wananichanganya hawa jamaa
Ina maana walikuwa hawana uhitaji au ni nini ?
Hatari.tuendelee kusubiri labda upepo unaweza ukatugeukia na sisi wazee wa umeme..Dah ! ,Hawa jamaa wanakwama wapi kuita majina ya fani nyingine tulizofanya mwezi wa sita aisee ?
CDO wa mwezi wa saba washamaliza ila fani za mwezi wa sita hawajamaliza kuiita ,ni hapo ndio huwa wananichanganya hawa jamaa
Ina maana walikuwa hawana uhitaji au ni nini ?
hivi hii ya CDO ni mwezi wa saba au sita,?Dah ! ,Hawa jamaa wanakwama wapi kuita majina ya fani nyingine tulizofanya mwezi wa sita aisee ?
CDO wa mwezi wa saba washamaliza ila fani za mwezi wa sita hawajamaliza kuiita ,ni hapo ndio huwa wananichanganya hawa jamaa
Ina maana walikuwa hawana uhitaji au ni nini ?
Wa 7 tarehe 18hivi hii ya CDO ni mwezi wa saba au sita,?
nilikua namuuliza uyo jamaa alielamba asali amelamba ya mkeka gani..Mkeka upi mzeeiya
ok kumbe ni wa saba..Wa 7 tarehe 18
Hongera sana mkuu kila la kheri kwenye majukumu yako mapyaNimelamba asali, civil engineer
Buyu la AsaliWa Tanroads
hatabiriki uyu mda wowote anaweza akanyanyua mashabiki..Leo arosto. Duuuhhh
Wanaopitisha majina ya Ajira ni mwajiri ukiona majina wanachelewa shida Sio psrs Bali ni boss wako mpya .Dah ! ,Hawa jamaa wanakwama wapi kuita majina ya fani nyingine tulizofanya mwezi wa sita aisee ?
CDO wa mwezi wa saba washamaliza ila fani za mwezi wa sita hawajamaliza kuiita ,ni hapo ndio huwa wananichanganya hawa jamaa
Ina maana walikuwa hawana uhitaji au ni nini ?
Civil engineers wanaanza na Bei ganiBuyu la Asali
Sijui mkuu ila ni hela nzuriCivil engineers wanaanza na Bei gani
1.8 MCivil engineers wanaanza na Bei gani
Tafuta mahojiano ya PSRS na vyombo vya habari...Wanaopitisha majina ya Ajira ni mwajiri ukiona majina wanachelewa shida Sio psrs Bali ni boss wako mpya .
Maana psrs hawana Ruhusa ya kuita mtu kazi mpaka mwajiri apitishe
Hongera from database? Maana wale direct jamaa kaniambia hakuna check numberNimelamba asali, civil engineer
Hongera sana mkuu, ukawe mtumishi mwema na mwadilifu ukachape kazi mkuu kila la kheri.Nimelamba asali, civil engineer
Tafuta mahojiano ya PSRS na vyombo vya habari...
Unachoongea ni tofauti....