HakiKwanza_2015
JF-Expert Member
- Nov 16, 2022
- 347
- 510
Kwenye nyuzi za jobless mi mgeni🤣🤣🤣🤣
Wew ni new member e??
Kwenye nyuzi za jobless mi mgeni🤣🤣🤣🤣
Wew ni new member e??
usihofu bado wanaendelea kuita..Kwa maelezo ya mtoa comment mmoja kwenye hiyo video iliyopostiwa leo Instagram katika page ya PSRS.Kacomment kuwa alikuwa anahesabu walishafika 800,Mkeka wajuzi akaona tena wameongeza CDO wengine 14.So kwa maelezo ya mtoa Comment ni kwamba walishafika 800,juzi wakaongezea 14.
Kwa mujibu wao database ni mwaka 1 tuUnaweza ukakaa data base zaidi ya miaka 2 na jina likatoka? Au ndo tusahau kbsa
Sijui wataongeza tena....ngoja tusubir pdf zingneKwa maelezo ya mtoa comment mmoja kwenye hiyo video iliyopostiwa leo Instagram katika page ya PSRS.Kacomment kuwa alikuwa anahesabu walishafika 800,Mkeka wajuzi akaona tena wameongeza CDO wengine 14.So kwa maelezo ya mtoa Comment ni kwamba walishafika 800,juzi wakaongezea 14.
....Wanalikumbuka ilo ila wanasahau mchakato wao unachukua zaidi ya mwaka kutafuta nafasi hiyohiyo inapotokea...Kwa mujibu wao database ni mwaka 1 tu
Inabidi waliangalie hilo mana kufika oral sio kaz ndogo....Wanalikumbuka ilo ila wanasahau mchakato wao unachukua zaidi ya mwaka kutafuta nafasi hiyohiyo inapotokea...
hongera.mkeka gani uo..?Nimelamba asali, civil engineer
Kusema IT haumjui kweli ushafanya interview hata moja ya utumishi nikupe muongozoKwenye nyuzi za jobless mi mgeni
Mkeka upi mzeeiyahongera.mkeka gani uo..?
Dah ! ,Hawa jamaa wanakwama wapi kuita majina ya fani nyingine tulizofanya mwezi wa sita aisee ?IT vp mpaka jioni au..?
Wa Tanroadshongera.mkeka gani uo..?