Kwanini Utumishi wanachukua muda kuita watu kwenye usaili LGs na MDs?

Mike_

Senior Member
Jan 9, 2021
190
243
Habari wakuu.

Ni mwezi wa nne Sasa tangu utumishi watangazi ajira kwa kada tofauti katika LGs and MDs Ila hadi mwezi huu hawaja ita watu kwenye saili.

Tatizo ni utumishi kuwa na watumishi wachache au ni kukosa accountability kwenye kazi zao?
 
Back
Top Bottom