Saili zinaisha leo tarehe 27.Huoni kama kuna Saili bado zilikuwa zinaendeleeea Dodoma.
Kuwa mpole zikiisha mtaitwaaa
Duuh kwahiyo soon tutarajie mikeka mingineSaili zinaisha leo tarehe 27.
Maana zilianza tokea trh 14 hadi 27
Ndio kiongozi
Hapo kama mikeka ipi hivi kwa kubet?Ndio kiongozi
Hili lina kama kaukweli ndani yakeZile zilikua siasa tu,serikali haina pesa ya kuajiri watu kwa sasa.
😂😂😂😂😂Nchi hii Ni tajiliiiiiiiiiiiiiiii.
It might be true. Bugando is undergoing the same catastrophe having finished all interviews ie written and oral , but nobody has been called for employmentZile zilikua siasa tu,serikali haina pesa ya kuajiri watu kwa sasa.
Inategemea na uliyoomba kuanzia ule mwezi wa 7 na wanane.
😂😂😂😂Asaivi utumishi wanatukanda sanaSaizi mnataka mvamie mtumbwi wa vibwengu bora tu mtu utulie
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Watu wanawachukuli Poa sana utumishiAsaivi utumishi wanatukanda sana
Nilichojifunza utumishi wanataka usome sana yana zile za class na kuhusu kazi husika