Rich Dad
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 748
- 133
Mwenye kujua anifahamishe. Huwa nashangazwa sana kwanini dollar ya mmarekani haiuzwi wala kununuliwa kwa kufuata thamani? Na badala yake wanaangalia denomination ya bill.
Mfano kama ni dollar 50 - 100, chini ya dollar 50 zinakuwa na exchange rate tofauti.
Je si wizi huu wandugu? Kuchenji kwa rate tofauti tofauti wakati value ya pesa ni ile ile?
Mfano kama ni dollar 50 - 100, chini ya dollar 50 zinakuwa na exchange rate tofauti.
Je si wizi huu wandugu? Kuchenji kwa rate tofauti tofauti wakati value ya pesa ni ile ile?