Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 13,395
- 9,767
Duh huyu jamaa kafufuka?Kwa sababu imani ni hakika au bayana ya usichokiona
Duh huyu jamaa kafufuka?Kwa sababu imani ni hakika au bayana ya usichokiona
Teh teh teh...vitabu vyoye vimeaandikwa na wanadamu kama weweMungu yupo kwa ushahidi huu wakimazingira uwepo wa mbingu na ardhi, usiku na mchana, mke na mume, majini na nnchi kavu, wanyama na mimea, ndege na wadudu, wanaadam na majini. Ushahid Surat n'nabai (78:8) m/mungu anasema "na nimekuumbeni kwa jozi" hakika ni ushahidi tosha kuwa sote tumetoka kwa Allah. Kuhusu yy kama tunataka kumjua zaid, Surat Al-iqlas sura ya 112 m/mungu anasema "yy ni wapekee, yy ndio mkusudiwa, hakuzaa wala hakuzaliwa, wala hana mfanoe", kumbuka Qur'an an ni ujalizo wa Taurat, Zaburi na Injili vyote ni vitabu vya mungu vilivyo teremshwa kwa mitume wake Daud, Mussa, Issa, a.s na mtume Muhammad s.a.w iwe muongozo kwa wanaadam huwez letwa duniani bila muongozo, kama unapo nunua gari au chombo chochote cha electronic utapewa muongozo vip utumie so Allah ndio katuletea hii miongozo hata ukipinga mungu hayupo utashindwa pinga maut basi kubali mungu yupo na kuna maisha baada ya maut wabilah tawfiq m/mungu mjuzi zaid.
Wewe kwanini uamini kuwa Mungu hayupo?Unajua wengi tumekua na kukuta utaratibu ambao umewekwa na walitutangulia.
Wengi tumedumisha imani ambazo tumezikuta mwenye jamii yetu.
Hivi ulishawahi jiuliza kwanini www ni dini hiyo unayoiamini?
Je unahisi km ungezaliwa dini nyingine ungebadili?
Je mpaka sasa unaamini dini yako ndio sahihi? Kwanini?
Je Kitu gani hasa kinakufanya uamini Mungu yupo?
Cc Kiranga, Al-Watan, Apollo, ONTARIO @jimeena
Tatizo, mnapomjibu kwa reference ya vitabu vyenu ambavyo yeye anaona ni hadithi za wajanja hamtamshawishi kabisa. Tafuta njia nyingine!Mungu yupo kwa ushahidi huu wakimazingira uwepo wa mbingu na ardhi, usiku na mchana, mke na mume, majini na nnchi kavu, wanyama na mimea, ndege na wadudu, wanaadam na majini. Ushahid Surat n'nabai (78:8) m/mungu anasema "na nimekuumbeni kwa jozi" hakika ni ushahidi tosha kuwa sote tumetoka kwa Allah. Kuhusu yy kama tunataka kumjua zaid, Surat Al-iqlas sura ya 112 m/mungu anasema "yy ni wapekee, yy ndio mkusudiwa, hakuzaa wala hakuzaliwa, wala hana mfanoe", kumbuka Qur'an an ni ujalizo wa Taurat, Zaburi na Injili vyote ni vitabu vya mungu vilivyo teremshwa kwa mitume wake Daud, Mussa, Issa, a.s na mtume Muhammad s.a.w iwe muongozo kwa wanaadam huwez letwa duniani bila muongozo, kama unapo nunua gari au chombo chochote cha electronic utapewa muongozo vip utumie so Allah ndio katuletea hii miongozo hata ukipinga mungu hayupo utashindwa pinga maut basi kubali mungu yupo na kuna maisha baada ya maut wabilah tawfiq m/mungu mjuzi zaid.
Kwahyo Nani ana uwezo wa kuzuia kifo ili tumuaminiJiulize kuwa we unazaliwa halafu unakufa mbona kama binadamu ana uwezo c angezuia kifo hivyo sasa amini kuwa mungu yupo Leo na hata milele.
Hapana sio Mungu kaviumba.vimeibuka tu kusikojulikana.ata wewe hakuna aliyekufanya ukawepo,umeibuka tu kusikojulikana.hata magari tunayoyaona hakuna aliyeyatengeneza,yameibuka tu kusikojulikana,hata nyumba tunazoziona hakuna aliyezijenga bali zimeibuka tu kusikojulikana.Ukipata majibu ya wapi vimetoka hivyo vitu utajua na ivyo vingine vilipotoka.Una uhakika gani kwamba vitu ulivyovitaja ni Mungu aliyeviumba?
Actually ni kinyume kabisa. Ukiangalia creatures lazima utaona kuwa kuna creator. Sababu viumbe haviwezi kuwepo bila muumbaji. Leo hii ukitembea msituni ghafla ukaona picha imechorwa pahala, lazima utasema kuwa kuna mchoraji under no circumstance utasema kuwa hiyo picha imetokea tu under the influemce of evolution which took place over billions of years (kama evolutionists wanavyoargue).Ukiangalia jinsi mambo yalivyo kwa undani,kuhusu miti,wadudu,wanyama,ndege,binadamu,bahari,anga,upepo,madini nk...utagundua kua Mungu hayupo kabisa
Kama Mungu yupo inabidi aseme yeye chanzo chake ni nini?
Mana mpaka leo...watu wa dini hawajui Mungu/Allah alitoka wapi,lakini pia wanasayansi nao hawajui chanzo cha sayari na nyota na viumbe vingine.
Kwa ufupi mpaka sasa hakuna taarifa sahihi kuhusu Mungu na Dunia
Denying the truth doesn't change the facts. Biandamu tupo sababu Mungu yupo and not the other way round.Mtu bila Mungu ni Atheist, Mungu bila mtu hakuna kitu.
Kwahiyo Mungu yupo kwa sababu watu wapo na siyo kinyume chake.
Mungu ni fikra za kibinadamu na siyo kitu halisi.
If you could urge with religious people, there would be no religion.Denying the truth doesn't change the facts. Biandamu tupo sababu Mungu yupo and not the other way round.