Kwanini Unaamini Mungu yupo?

That is the result of his disobedience mwanzonzi kwa kula the fruit of knowledge of good and evil. He, therefore, lost his place. Haujiulizi kwa nini a human is a wanting being (Maslow hierarchy of needs)? Hata awe na nini he does not get satisfied. Intrinsically, but unknowingly, we are questing for the position that we lost in Eden, that can only be found in Christ for he came to restore humanity to God.
Binadamu anaweza kumfuga simba, lakini simba hawezi
 
Ilishaandikwa "Wapumbavu hawamjui Mungu.Hivi matrilion ya binadamu wanakiri Mungu yupo wanashinda miskitini na makanisani wakimwabudu wakiwemo madaktari na wanasayansi wewe unadai Mungu hayupo ,ina maana ww una akili kuliko hawa wanaomtukuza.Walio wa kwake awajua hawana umuhimu wa kubishania hii mada.
Ukisema walio wengi wanakiri Mungu yupo,unakosea..watu wengi wanaenda makanisani na misikitini na masinagogi tu ila hawajui wanafanya nini...

Lakini pia wingi wa watu usikufanye ukawa kipofu,ndomana kwenye jamii masikini wanakua wengi...na matajiri wanakua wachache,sababu kuu watu wengi hua hawajui ukweli ila wachache tu ndo hua wanajua ukweli na ndomana wanafanikiwa...

Naendelea kukumbusha Mungu hayupo,na wala shetani hayupo.

Kwamana hiyo usifanye ibada yoyote ama ya kimungu au kishetani sababu unapoteza Muda wako.
 
Sababu kuna mambo yametokea kwenye maisha yangu... kwa uwezo wa kawaida isingewezekana , ilitokea tu ajab yakawezekana.

Kawaida sipendelei kuongelea imani za watu mpaka wanialike kuongelea.

Na hapa kama public forum, ukiandika umeanialika.

Mambo gani yametokea? Uwezo wa kawaida ni upi na usio wa kawaida ni upi? Unajuaje hilo? Ajabu ni nini? Unajuaje hiyo ni ajabu na si kitu cha kawaida tu ambacho hujakijua vizuri tu?
 
Kwa sababu imani ni hakika...na tena ni bayana

Tafuta kamusi kujua maana ya maneno hakika au bayana...
Kamusi si imeandika km ilivyo andikwa biblia?

Kwahiyo unaamini mungu yupo kwa tafsiri ya kamusi?
 
Kamusi si imeandika km ilivyo andikwa biblia?

Kwahiyo unaamini mungu yupo kwa tafsiri ya kamusi?
Now i know...

Tuna aina tofauti ya mitazamo hivyo mjadala hautaisha...

Nakuelekeza kitu kingine wewe watafsiri vingine...
 
dini ni mila tu za kumuabudu mungu..
wengi hurithi imani za walezi na ndizo huzitumia kumuabudu mungu..
kila mmoja hupenda mila zake ndio zifuatwe, wazungu hutoa hela kwa ajili ya hilo, mwarabu hukwambia bila ya kutumia kiarabu mungu hakuelewi na hata salamu ukitumia ya waarabu unapata thawabu...
kkkkkk
Mungu tunaamini yupo kupitia nature ya ulimwengu na miujiza yake..
pia mizimu yenge nguvu ipo..
majini yenye miujiza yapo..
KILA MMOJA YU AVUTIA KWAKE !!
binaadamu wanaomkuwadia mungu kwa kujifanya ni wateule pia wapo.

Sent from my TECNO-H3 using JamiiForums mobile app
Kiufupi mungu ni imani zaidi juu ya nature na sio kitu halisi.
 
Unajua wengi tumekua na kukuta utaratibu ambao umewekwa na walitutangulia.
Wengi tumedumisha imani ambazo tumezikuta mwenye jamii yetu.

Hivi ulishawahi jiuliza kwanini www ni dini hiyo unayoiamini?

Je unahisi km ungezaliwa dini nyingine ungebadili?

Je mpaka sasa unaamini dini yako ndio sahihi? Kwanini?

Je Kitu gani hasa kinakufanya uamini Mungu yupo?

Cc Kiranga, Al-Watan, Apollo, ONTARIO @jimeena
Uko sahihi kabisa mkuu General Mangi hizi dini wengi wetu tulikuwa nazo kwasababu tumezaliwa familia zenye kufuata mifumo hiyo ya imani.

Nimeshawahi kujiuliza maswali yote hayo na nikaona haina haja kuendelea kufata dini hizi za kurithi

Ndio sababu mimi ni Antagonist kuhusu Mungu. Na dini yangu ni upendo
 
Ilishaandikwa "Wapumbavu hawamjui Mungu.Hivi matrilion ya binadamu wanakiri Mungu yupo wanashinda miskitini na makanisani wakimwabudu wakiwemo madaktari na wanasayansi wewe unadai Mungu hayupo ,ina maana ww una akili kuliko hawa wanaomtukuza.Walio wa kwake awajua hawana umuhimu wa kubishania hii mada.
Kwani matrilion wakiamini uwepo wake ndio inafanya awepo?? Usipende kuwa unafata mkumbo katika maisha
 
Mkuu umefikiri umefika mwisho
Maisha magumu sasa umeamua umfikirie mungu ha ha ha ha
 
Uko sahihi kabisa mkuu General Mangi hizi dini wengi wetu tulikuwa nazo kwasababu tumezaliwa familia zenye kufuata mifumo hiyo ya imani.

Nimeshawahi kujiuliza maswali yote hayo na nikaona haina haja kuendelea kufata dini hizi za kurithi

Ndio sababu mimi ni Antagonist kuhusu Mungu. Na dini yangu ni upendo
Safi mkuu, humanity ni kitu muhimu ili maisha ya wengine yaende vzr.

Mungu ni wewe na shetan ni wewe, ni jinsi utakavyo amua ww
 
Back
Top Bottom