Kama inavyofahamika kuwa watanzania wote wazalendo tutajumuika kwa pamoja katika kuchagua viongozi wetu watakaotuongoza na kututumikia kwa miaka matano ijayo 2010-2015 lakini sasa swali kubwa linaloniumiza kichwa mpaka je watanzania wenzangu tunautambua mchango wa serikali iliyopita maana kuna propaganda nyingi za kisa ambazo baadhi ya vyama vya siasa zinazitumia katika kutufumba macho watanzania na wengine wanadiliki mpaka kututukana kama sio kutuvua nguo kwa kile wanachodai kuwa toka zama za uhuru wetu mpaka sasa nchi yetu haijapiga hatua yoyote ya maendeleo kweli jamani?ina maana mabadiliko ya nyanja mbalimbali nchini mwetu hatuyaoni?au ina maana wanatuona sisi kama majani makavu tu tunapeperushwa na upepo hatujielewi hata chepe jamani wakisema tusiache kuwasikiliza katu tuwasikilize kama kawaida ila baadae tukae chini na kupembua hizo sera zao wasemazo je kweli zitasaidia?zinalenga kutujenga na kutuimarisha au kutubomoa? na kwanini wasiweke wazi basi japo robo ya mema yaliyofanywa na serikali iliyopita?jamani hawa watu wanataka wao ni kututawala tu lakini sio kutupa maendeleo wana uchu na uongozi na wala sio nia ya kutuongoza jamani ni mengi yamefanywa na yanaendelea kufanywa siku hadi siku napenda kukiri wazi wazi kuwa mimi kama mtanzania bado nina imani kubwa na serikali ya CCM kwa yale ambayo wameyaonyesha katika Tanzania huru natumaini na kuamini ni mengi yanafuata kwasababu waliahidi wametimiza mengi na mengine yanaendelea kufata utekelezaji siku hadi natamani kuiona Tanzania ya baada ya 5 ijayo namuomba MUNGU anifikishe ili hata wale wanaipinga serikali ya sasa watafute lengine la kuzua ila jamani oktoba 31 tusitetereke hata kidogo kura zaidi kwa ccm maendeleo stahiki ya Tanzania endelevu