Krikichino
JF-Expert Member
- Oct 5, 2019
- 651
- 1,098
Kama unafuatilia muziki kwa umakini utabaini kwamba Bongo hamna music chart ya kueleweka, the likes of Billboard.
Hapa Bongo kila kituo kina charts zake. Clouds ina Clouds FM top 30, EA Radio ina za kwake na vituo vingine vingi.
Ubaya wa charts hizi ni kwamba hazina uhalisia. Zina upendeleo na binafsi nazionaga kama promotional prop tofauti na charts za Billboard.
Charts za Billboard zenyewe zinajumuisha streams from Spotify, Apple Music na DSPs ZOTE, Digital Sales from Itunes na Amazon, Radio Airplay na TV Airplay.
Kwa hiyo unakuta ngoma ikienda namba moja kwenye Billboard Hot 100, hiyo ngoma inastahili kweli na sio kwamba Adam Mchomvu na Mussa Saliboko wa Clouds ndo wameamua hiyo ngoma ikae namba moja.
Sasa swali langu ni, hivi ni kwanini Bongo hatuna such charts? Changamoto iko wapi? Ni technology, funding au hatuna interests?
Nawasilisha.
Hapa Bongo kila kituo kina charts zake. Clouds ina Clouds FM top 30, EA Radio ina za kwake na vituo vingine vingi.
Ubaya wa charts hizi ni kwamba hazina uhalisia. Zina upendeleo na binafsi nazionaga kama promotional prop tofauti na charts za Billboard.
Charts za Billboard zenyewe zinajumuisha streams from Spotify, Apple Music na DSPs ZOTE, Digital Sales from Itunes na Amazon, Radio Airplay na TV Airplay.
Kwa hiyo unakuta ngoma ikienda namba moja kwenye Billboard Hot 100, hiyo ngoma inastahili kweli na sio kwamba Adam Mchomvu na Mussa Saliboko wa Clouds ndo wameamua hiyo ngoma ikae namba moja.
Sasa swali langu ni, hivi ni kwanini Bongo hatuna such charts? Changamoto iko wapi? Ni technology, funding au hatuna interests?
Nawasilisha.