Wadau nimeshangaa kuona watu wanaopiga picha linalojengwa pale kigongo busisi wanakamata na kunyanyaswa sana. Je shida nini?
Kwanini tulipe Kodi lakini kupiga picha ya kitu kinachojengwa na Kodi zetu tunakataliwa? Wanafjchanini?
Au kwa kuwa wanajenga kinyume na quality ya mwanzo ili wapige pesa ndo maana hawataki watu wasipige picha. Serikali tunataka maelezo
Kwanini tulipe Kodi lakini kupiga picha ya kitu kinachojengwa na Kodi zetu tunakataliwa? Wanafjchanini?
Au kwa kuwa wanajenga kinyume na quality ya mwanzo ili wapige pesa ndo maana hawataki watu wasipige picha. Serikali tunataka maelezo