Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Tunaambiwa kuwa ni uchumi wa soko na ya kuwa soko litaamua kitu gani kizalishwe, kwa kiasi gani na kitauzwa kwa bei gani. Kwamba nguvu zisizoonekana za ugavi na mahitaji (supply and demand) zitaamua bei (price) ya vitu vinavyozalishwa (bidhaa na huduma).
Jumatatu tumeona madereva wa vi-express huko Mwanza wakigoma wakitaka serikali ipandishe bei ya kwenda sehemu mbalimbali jijini mle. Na magazeti ya letu yanatudokeza kuwa SUMATRA nao wanatangaza kupanda kwa nauli ya mabasi ya mikoani.
Swali langu ni kuwa kwanini serikali inapanga nauli ya mabasi na isiache soko liamue nani atazalisha kitu gani kwa kiasi gani na atakiuza kwa bei gani?
Jumatatu tumeona madereva wa vi-express huko Mwanza wakigoma wakitaka serikali ipandishe bei ya kwenda sehemu mbalimbali jijini mle. Na magazeti ya letu yanatudokeza kuwa SUMATRA nao wanatangaza kupanda kwa nauli ya mabasi ya mikoani.
Swali langu ni kuwa kwanini serikali inapanga nauli ya mabasi na isiache soko liamue nani atazalisha kitu gani kwa kiasi gani na atakiuza kwa bei gani?