Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Tumetoka kuondoa kesi mahakamani dhidi ya Mbowe serikali ikiwa imechafuka, utaratibu wa kuondoa kesi hiyo ukiwa na maswali mengi KUHUSU uhusika wa viongozi wakubwa. Tumejisafisha lakini Bado atujatakata.
Hali ikiwa Tete tumeingia Tena kwenye mgogoro wa ajabu usiohutaji kujadiliwa. Usiotoa political mailage badala yake unafifisha juhudi na kuwapa mailage akina kibatala bila Hata sababu ya maana.
Serikali imeanza kuvuliwa nguo Kupitia uandaaji wa affidavit kitu ambacho watu makini walipaswa kukiona; tumeanza kuonekana Mawakili wa Jamhuri awaelewi .
Tutaendelea na kesi hizi tukidhani tunaikomoa Chadema lakini tukumbuke wapo Wana CCM wanalalamika chama kuendelea kuikumbatia wageni Kwa kuwapa Ubunge, udiwani ukuu wa wilaya na mkoa Hadi uwaziri huku Wana CCM wakisota bench. Wapo Wana CCM wanajua 2025 akina Halima watapitishwa kwa upendeleo na hivyo wao wataendelea kusota. Wapo Wana ccm wanaelewa mchezo wa wapinzani kujipitisha wanunuliwe wajijenge kiuchumi wakijiandaa kuivuruga CCM
Najiuliza washauri wa serikali wanaona CCM inanufaika vipi na migogoro hii? Kwanini tusishtuke kwamba wapo wanasayansi wa siasa wanamvuruga mwenyekiti Ili Hali 2025 iwe Tete wapige fedha Kupitia dola wakimwaminisha akubaliki?
Kupanga ni kuchagua
Hali ikiwa Tete tumeingia Tena kwenye mgogoro wa ajabu usiohutaji kujadiliwa. Usiotoa political mailage badala yake unafifisha juhudi na kuwapa mailage akina kibatala bila Hata sababu ya maana.
Serikali imeanza kuvuliwa nguo Kupitia uandaaji wa affidavit kitu ambacho watu makini walipaswa kukiona; tumeanza kuonekana Mawakili wa Jamhuri awaelewi .
Tutaendelea na kesi hizi tukidhani tunaikomoa Chadema lakini tukumbuke wapo Wana CCM wanalalamika chama kuendelea kuikumbatia wageni Kwa kuwapa Ubunge, udiwani ukuu wa wilaya na mkoa Hadi uwaziri huku Wana CCM wakisota bench. Wapo Wana CCM wanajua 2025 akina Halima watapitishwa kwa upendeleo na hivyo wao wataendelea kusota. Wapo Wana ccm wanaelewa mchezo wa wapinzani kujipitisha wanunuliwe wajijenge kiuchumi wakijiandaa kuivuruga CCM
Najiuliza washauri wa serikali wanaona CCM inanufaika vipi na migogoro hii? Kwanini tusishtuke kwamba wapo wanasayansi wa siasa wanamvuruga mwenyekiti Ili Hali 2025 iwe Tete wapige fedha Kupitia dola wakimwaminisha akubaliki?
Kupanga ni kuchagua