LUS0MYA
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 862
- 1,097
Sijui kama sheria imeshafutwa lakini ilikuwa ni lazima ofisi ya serikali au binafsi kuweka picha rasmi ya Rais pamoja na Baba wa Taifa, lakini naona siku hizi ofisi nyingi zinaweka picha moja tu ya Rais.
Kizazi cha sasa na kijacho watamjua kweli muasisi wa taifa hili?
Kizazi cha sasa na kijacho watamjua kweli muasisi wa taifa hili?