Jambo zito umeliweka kiudaku zaidi.Viongozi wake wengi wakuu walikuwa na elimu ndogo tu. Mfano..Biti Titi, Mzee Kawawa, Kingunge nk.
Isitoshe wale walioonekana wasomi jamaa aliwademolish...akina Tuntemeke Sanga, yule ticha wa makongo(Classmate wa Abort) na wengineo!!