Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,967
- 22,161
Nimejaribu kuwaza ndoa za enzi zetu
Hivi majuzi nilihudhuria ndoa 3
Kila ndoa mdada kabakisha kama mwezi kujifungua hii waliweka mpaka na ambulance na nurse ikitokea emergency
Mwingine jumamosi iliopita huyu afadhali kitambi kilikuwa si kikubwa sana
Mwingine huuu dah mpaka nilikuwa naogopa kumwangalia mwili mkubwa na mbele ana exp wiki kadhaa kjjifungua dah
Sijajua nini shida kwani kuolewa lazima mpeane maimba kwanza??
Unajua mtoto n wa Mungu..unaweza zini ukiona Mimbaa unaazimisha ndoa..baada ya ndoa akachukua chake
MUNGU Akusaidie ukaolewe ukiwa safi bila Mimba ukaheshimikee milleleee
Amen
Hivi majuzi nilihudhuria ndoa 3
Kila ndoa mdada kabakisha kama mwezi kujifungua hii waliweka mpaka na ambulance na nurse ikitokea emergency
Mwingine jumamosi iliopita huyu afadhali kitambi kilikuwa si kikubwa sana
Mwingine huuu dah mpaka nilikuwa naogopa kumwangalia mwili mkubwa na mbele ana exp wiki kadhaa kjjifungua dah
Sijajua nini shida kwani kuolewa lazima mpeane maimba kwanza??
Unajua mtoto n wa Mungu..unaweza zini ukiona Mimbaa unaazimisha ndoa..baada ya ndoa akachukua chake
MUNGU Akusaidie ukaolewe ukiwa safi bila Mimba ukaheshimikee milleleee
Amen