shabanmbarak
JF-Expert Member
- Aug 17, 2022
- 1,165
- 1,105
Yale hayakuwa Maagizo ya Mungu Bali ni Mila za zamani za kiarabu ambazo kwa wakati huo zilikuwepo sehemu nyingi duniani. Ndio maana Mungu alimuimbia Adam mke mmoja ambaye ni Eva tuu. Ndio maana hata baba wa Imani alikuwa ana mke Mmoja ambaye ni Sarat tuu na Hajir alizaa naye kwa bahati mbaya tu.
Hivi vitabu vina mambo mengi ya Mila na desturi za zamani ukijifanya unafuata Kila kilichoandikwa utaingia Chaka na itakula kwako. Mwone samaki la kimataifa lililofungiwa lolijifanya linamuiga mtume ambaye amemsoma tuu kwenye kitabu Sasa hivi kimyaaaa kidomo Domo chote keishnei
Kwamba Alizaa na Hajir kwa bahat mbaya.Vip baada ya ibrahim(Baba wa iman) kujua ni bahat mbaya alichukua uamuz upi?