Kwanini nchi za kiarabu zinapingana na Quran kwa kufuta ndoa za wake wengi?

Kuna watu wanatumia hii sheria ya kuruhusu kuowa wanawake wengi vibaya.

Uislamu hauruhusu kuowa kiholela bali umeweka masharti na sifa ambazo unazo takiwa kuwa nazo ili uweze kuoa mke wa pili, kwanza uwe vizuri kiuchumi ili uweze kuwatunza hao wanawake,sio mke mmoja tu kumtunza huwezi unakimbilia kuowa mke wapi eti kisa dini inaruhusu.
Pia uwe na nguvu za kutosha kuwatosheleza kitandani sio ww unapiga kimoja kama jogoo alafu unakimbilia kuowa mke wa pili ili iweje kwanza.
 
Kuna watu wanatumia hii sheria ya kuruhusu kuowa wanawake wengi vibaya.

Uislamu hauruhusu kuowa kiholela bali umeweka masharti na sifa ambazo unazo takiwa kuwa nazo ili uweze kuoa mke wa pili, kwanza uwe vizuri kiuchumi ili uweze kuwatunza hao wanawake,sio mke mmoja tu kumtunza huwezi unakimbilia kuowa mke wapi eti kisa dini inaruhusu.
Pia uwe na nguvu za kutosha kuwatosheleza kitandani sio ww unapiga kimoja kama jogoo alafu unakimbilia kuowa mke wa pili ili iweje kwanza.
 
Kabla hata hatujafika mbali nipe ushahidi wa hili maana naona ni upotoshaji wa hali ya juu.

Kwasasa duniani wanaume ni wengi kuliko wanawake.

View attachment 2479104
Huko kwenu tu Tz Mama samia alipiga vigelele vingi baada ya matokeo ya Sensa kuona wanawake ni wengi zaidi ya wanaume, basi ata hisia hupati kwa nchi zilizobaki ulimwenguni?
 
Tukubaliane na ukweli tuu

Kwa Adam Kummudu Mwanamke mmoja tuu (Hawa) ilikua shughuli pevu
Kwa Ibrahimu alijaribu kwa kijakazi moto ukawaka

Kwa Isaka mke alimzidi ujanja akajikuta kampa baraka Yakobo na kumwacha Esau na wote ni watoto wa tumbo moja tena mapacha

Sembuse wa leo

Binafsi mimi sijatosheka bado ili niletewe msaada🤣🤣🤣
... wivu tu umekujaa na wewe! Hutaki ku-share?
 
... wivu tu umekujaa na wewe! Hutaki ku-share?

🤣🤣🤣🤣hujanielewa, sio wivu

Nimesemaaaa, Mimi mwenyewe hajanitosha..... yaani ni bampa to bampa

Sasa hiyo habari ya kugawana siku mimi nitaiwezea wapi jameni!? Hata yeye anajua☺☺

Msema kweli mpenzi wa Mungu
 
🤣🤣🤣🤣hujanielewa, sio wivu

Nimesemaaaa, Mimi mwenyewe hajanitosha..... yaani ni bampa to bampa

Sasa hiyo habari ya kugawana siku mimi nitaiwezea wapi jameni!? Hata yeye anajua☺☺

Msema kweli mpenzi wa Mungu
... huo si ndio wivu wenyewe mama D? Sijakuelewa vipi sasa.
 
Mkuu ni wewe uliyeandika hivi?

Elewa kwamba sharti la kuoa mke zaidi ya mmoja katika uislamu ni sharti lililokuja na uadilifu, sasa nadhan ungepata muda kujua uadilifu ni upi hasa uliozungumziwa hapa ili muislamu aongeze mke.

Unaposema wake wengi wamaanisha idadi ipi? katika Uislamu sheria imetutaka kuoa mke 1,2,3,4 hii ndio idadi ya mwisho ya kuowa wake kwa wakati mmoja katika uislamu.

Lakini pia yakupasa kujua kwamba idadi ya wanawake ulimwenguni ni mara 4 zaidi ya wanaume, hivyo unaweza kuona ndoa ni chache zilizofungwa mke zaidi ya mmoja sababu ya msingi nii hii., kama Irani population ni milioni 88.5 kwanini hukutaka kujua idadi ya wanawake na wanaume kati ya hiyo milioni 88.5 ni ngapi?? ndio uje hapa na hiyo idadi ya laki moja.

Unapotosha sana na wala hukuleta reference yoyote kwamba nchi za Uturuki na Saudia imeweka masharti makali kuongeza mke zaidi ya mmoja ni vile umepata muda tu kuwa hapa JF na kuandika chochote unachoweza kuandika
 

Attachments

  • Screenshot_20230113-100353_Firefox.jpg
    Screenshot_20230113-100353_Firefox.jpg
    127.7 KB · Views: 7
... huo si ndio wivu wenyewe mama D? Sijakuelewa vipi sasa.

Bado hujaelewa, nasemaaaa

🤣🤣🤣🤣hujanielewa, sio wivu

Nimesemaaaa, Mimi mwenyewe hajanitosha..... yaani ni bampa to bampa

Sasa hiyo habari ya kugawana siku mimi nitaiwezea wapi jameni!? Hata yeye anajua☺☺

Msema kweli mpenzi wa Mungu
 
Mkuu ni wewe uliyeandika hivi?

Elewa kwamba sharti la kuoa mke zaidi ya mmoja katika uislamu ni sharti lililokuja na uadilifu, sasa nadhan ungepata muda kujua uadilifu ni upi hasa uliozungumziwa hapa ili muislamu aongeze mke.

Unaposema wake wengi wamaanisha idadi ipi? katika Uislamu sheria imetutaka kuoa mke 1,2,3,4 hii ndio idadi ya mwisho ya kuowa wake kwa wakati mmoja katika uislamu.

Lakini pia yakupasa kujua kwamba idadi ya wanawake ulimwenguni ni mara 4 zaidi ya wanaume, hivyo unaweza kuona ndoa ni chache zilizofungwa mke zaidi ya mmoja sababu ya msingi nii hii., kama Irani population ni milioni 88.5 kwanini hukutaka kujua idadi ya wanawake na wanaume kati ya hiyo milioni 88.5 ni ngapi?? ndio uje hapa na hiyo idadi ya laki moja.

Unapotosha sana na wala hukuleta reference yoyote kwamba nchi za Uturuki na Saudia imeweka masharti makali kuongeza mke zaidi ya mmoja ni vile umepata muda tu kuwa hapa JF na kuandika chochote unachoweza kuandika
Sensa ya Tanzania wanawake ni wengi kwa Milioni 1 tu
 
Mkuu nakuomba sana lete reference nani Saudia na Uturuki amezuia ndoa za kuoa mke zaidi ya mmoja katika Uislamu usinilitee habari za google na Wikipedia, hivi kumbe wewe umekuja na habari hizi kwa sababu ya google search, unaweza kunambia hiyo taarifa uliyosoma google imeekwa nani? Mimi sifanyii kazi kazi habari za google.

Lete reference Mfalme wa Saudia Arabia amezuia sheria ya kiislamu kutekelezeka katika nchi yake ya kuoa mke zaidi ya mmoja ama amepiga marufuku.

Mimi nakuletea evidence ya Tunisia hairuhusiwi kufunga ndoa na mke zaidi ya mmoja. Nenda kasome sheria ya ndoa ya tunisia article 8 of the personal status code

Polygamy is a taboo issue in Tunisia and a crime punishable by law, under Article 18 of the Personal Status Code.


Pia uturuki ilikataza ndoa ya mke zaidi ya mmoja toka mwaka 1926

Ukioa mke zaidi ya mmoja ni kosa kisheria under turkish civil code adhabu ya jela inakuhusu
Soma screen shot
 

Attachments

  • Screenshot_20230113-100353_Firefox.jpg
    Screenshot_20230113-100353_Firefox.jpg
    127.7 KB · Views: 4
Nchi ya Uturuki, Tunisia na Iraq zimefuta kabisa ndoa za wake wengi huku Saudi Arabia ikiwa imeweka masharti makali kiasi kwamba hakuna watu wanaooa wake wengi.

Iran yenye watu milioni 88.5 ina ndoa za wake wengi zinazofikia laki moja tu. Algeria zinaelekea kupotea. Swali hapa ni kwanini hizi nchi zenye waislamu wengi hawataki kuoa wake wengi?
Nisaidie chanzo cha habari yako Mkuu
 
Mkuu ni wewe uliyeandika hivi?

Elewa kwamba sharti la kuoa mke zaidi ya mmoja katika uislamu ni sharti lililokuja na uadilifu, sasa nadhan ungepata muda kujua uadilifu ni upi hasa uliozungumziwa hapa ili muislamu aongeze mke.

Unaposema wake wengi wamaanisha idadi ipi? katika Uislamu sheria imetutaka kuoa mke 1,2,3,4 hii ndio idadi ya mwisho ya kuowa wake kwa wakati mmoja katika uislamu.

Lakini pia yakupasa kujua kwamba idadi ya wanawake ulimwenguni ni mara 4 zaidi ya wanaume, hivyo unaweza kuona ndoa ni chache zilizofungwa mke zaidi ya mmoja sababu ya msingi nii hii., kama Irani population ni milioni 88.5 kwanini hukutaka kujua idadi ya wanawake na wanaume kati ya hiyo milioni 88.5 ni ngapi?? ndio uje hapa na hiyo idadi ya laki moja.

Unapotosha sana na wala hukuleta reference yoyote kwamba nchi za Uturuki na Saudia imeweka masharti makali kuongeza mke zaidi ya mmoja ni vile umepata muda tu kuwa hapa JF na kuandika chochote unachoweza kuandika
Ila na wewe unatupiga hapa? Lini wanaumme wakawa mara nne wanawake
 
Mimi nakuletea evidence ya Tunisia hairuhusiwi kufunga ndoa na mke zaidi ya mmoja. Nenda kasome sheria ya ndoa ya tunisia article 8 of the personal status code

Polygamy is a taboo issue in Tunisia and a crime punishable by law, under Article 18 of the Personal Status Code.


Pia uturuki ilikataza ndoa ya mke zaidi ya mmoja toka mwaka 1926

Ukioa mke zaidi ya mmoja ni kosa kisheria under turkish civil code adhabu ya jela inakuhusu
Soma screen shot
Sasa kama kuna sheria Tunisia kwanini umekuja na mada nchi za kiarabu, ukataja Saudia Arabia, Uturuki na Iran kuhusu ndoa?

Uislamu ama sheria za kiislamu duniani hazitekelezwi na fatwa za kisheria kutoka Tunisia ama nchi yoyote iwe za kiarabu ama kwengine kokote.

Waislmau duniani kote wana miongozo yao kutoka kwenye kitabu kitakatifu Quran na hadithi za Mtume S.A.W. Sasa ikitokea nchi dola yake ya kiislamu inatetereka huwezi kuhukumu kwa waislamu wote duniani na nchi zote duniani.

Na hata huko Tunisia sina hakika sana hizo sheria ulizotaja za Tunisia kwa vile reference zako ni google search na wikipedia
 
Sasa kama kuna sheria Tunisia kwanini umekuja na mada nchi za kiarabu, ukataja Saudia Arabia, Uturuki na Iran kuhusu ndoa?

Uislamu ama sheria za kiislamu duniani hazitekelezwi na fatwa za kisheria kutoka Tunisia ama nchi yoyote iwe za kiarabu ama kwengine kokote.

Waislmau duniani kote wana miongozo yao kutoka kwenye kitabu kitakatifu Quran na hadithi za Mtume S.A.W. Sasa ikitokea nchi dola yake ya kiislamu inatetereka huwezi kuhukumu kwa waislamu wote duniani na nchi zote duniani.

Na hata huko Tunisia sina hakika sana hizo sheria ulizotaja za Tunisia kwa vile reference zako ni google search na wikipedia

Wapi nimetaja saudi arabia na iran?
 
So wawakilishi wa uislam Ila kutwa mnafunga safari kwenda kwenye vyuo vya Dini kusoma Dini jinsi ya kuvaa makobazi
Kufunga safari sio issue kwasababu wao wana wanachuoni wengi wanaandaa vizazi vyao kusoma kutokana na mifumo yao, na hakuna mgongano baina ya kauli hizi mbili.
 
Wapi nimetaja saudi arabia na iran?
Nchi ya Uturuki, Tunisia na Iraq zimefuta kabisa ndoa za wake wengi huku Saudi Arabia ikiwa imeweka masharti makali kiasi kwamba hakuna watu wanaooa wake wengi.

Iran yenye watu milioni 88.5 ina ndoa za wake wengi zinazofikia laki moja tu. Algeria zinaelekea kupotea. Swali hapa ni kwanini hizi nchi zenye waislamu wengi hawataki kuoa wake wengi?
 
Tukubaliane na ukweli tuu

Kwa Adam Kummudu Mwanamke mmoja tuu (Hawa) ilikua shughuli pevu
Kwa Ibrahimu alijaribu kwa kijakazi moto ukawaka

Kwa Isaka mke alimzidi ujanja akajikuta kampa baraka Yakobo na kumwacha Esau na wote ni watoto wa tumbo moja tena mapacha

Sembuse wa leo

Binafsi mimi sijatosheka bado ili niletewe msaada
Yakobo aliwamuduje wa nne?.
 
Back
Top Bottom