ITR
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 4,528
- 11,662
Kuna watu wanatumia hii sheria ya kuruhusu kuowa wanawake wengi vibaya.
Uislamu hauruhusu kuowa kiholela bali umeweka masharti na sifa ambazo unazo takiwa kuwa nazo ili uweze kuoa mke wa pili, kwanza uwe vizuri kiuchumi ili uweze kuwatunza hao wanawake,sio mke mmoja tu kumtunza huwezi unakimbilia kuowa mke wapi eti kisa dini inaruhusu.
Pia uwe na nguvu za kutosha kuwatosheleza kitandani sio ww unapiga kimoja kama jogoo alafu unakimbilia kuowa mke wa pili ili iweje kwanza.
Uislamu hauruhusu kuowa kiholela bali umeweka masharti na sifa ambazo unazo takiwa kuwa nazo ili uweze kuoa mke wa pili, kwanza uwe vizuri kiuchumi ili uweze kuwatunza hao wanawake,sio mke mmoja tu kumtunza huwezi unakimbilia kuowa mke wapi eti kisa dini inaruhusu.
Pia uwe na nguvu za kutosha kuwatosheleza kitandani sio ww unapiga kimoja kama jogoo alafu unakimbilia kuowa mke wa pili ili iweje kwanza.