DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 8,950
- 18,480
Kweli kabisa mkuu na ndo maana Sukari huwa wanaamua Kuuza bei wanazotaka..Basi hii itakuwa biashara nzuri sana tuache kuhangaika na kulima vanilla na matikiki tulime miwa na kuagiza sukari kutoka nje to infinity sababu kwa logic yako kuna soko la sukari ambalo halina kikomo
Ila kwa sheria hiyo ya Soko Huria la.sukari kidogo itasaidia