Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 12,558
- 19,606
Haya mambo ya ajabu sana Tuliowapa kazi wameshindwa wanamtupia lawama mtu anayecheza na fursa....
Kama mtu ali-gamble akachukua shehena ya sukari fingers crossed kwamba bei zitapanda na yeye ajipatie bahati kwanini tumpangie bei ya kuuza wakati bei labda zikishuka (Mkeka wake usipotiki) hatumsaidii kumpa pole na kumwambia "Keep Change"!!!
Tupeleke lawama panapohusika Wizara ya Kilimo / Biashara na / Viwanda kwa kutokuona kujua demand inakuwa vipi na mizigo ipo vipi Uhaba wa Supply ni kosa la hawa watumishi wetu serikalini na sio jirani yangu ambaye anaona angalau haka ka-stock kake kamsaidie kupeleka mtoto shule....
Kama mtu ali-gamble akachukua shehena ya sukari fingers crossed kwamba bei zitapanda na yeye ajipatie bahati kwanini tumpangie bei ya kuuza wakati bei labda zikishuka (Mkeka wake usipotiki) hatumsaidii kumpa pole na kumwambia "Keep Change"!!!
Tupeleke lawama panapohusika Wizara ya Kilimo / Biashara na / Viwanda kwa kutokuona kujua demand inakuwa vipi na mizigo ipo vipi Uhaba wa Supply ni kosa la hawa watumishi wetu serikalini na sio jirani yangu ambaye anaona angalau haka ka-stock kake kamsaidie kupeleka mtoto shule....