ni muda mrefu tangu mbunge wa jimbo la gairo alipolikwapua jimbo hilo likiwa na hali mbaya sanaa. asipewe sifa kwa nini? tunasema apewe sifa kwanza amelitoa jimbo sehemu mbaya na amejaribu sana kusaidia watu wengi kwa namna moja au nyengine kuanzia elimu,maisha,nakadhalika
Amekuwekea mazingira ya kujiajiri? au kwa sababu alikusaidi hela ya kunua unga wa mlo wa mchana? achana na fikra tegemezi.