Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,617
- 34,062
Hivi watu waliotawaaalmost dunia nzima kiongozi waoanahitaji document yoyote kujitambulisha yeye ni nani ?in case anasaforo nchi nyingine anatumia vibali gani
Hivi watu waliotawaaalmost dunia nzima kiongozi waoanahitaji document yoyote kujitambulisha yeye ni nani ?in case anasaforo nchi nyingine anatumia vibali gani
Akifa mrithi wake pia hatakuwa na pasi ya kusafiria?Hivi watu waliotawaaalmost dunia nzima kiongozi waoanahitaji document yoyote kujitambulisha yeye ni nani ?
Kwa hiyo viongozi wa nchi duniani hawana passport?Kumbuka, Passport ni kwa ajili ya Kiongozi wa nchi husika kumuombea kibali RAIA wake kuingia kwenye nchi anayoitaka,
Jibu hilo hapo kwa sababu passport inatolewa kwa jina lake kwa hiyo Haina sababu yeye awe nayoWhen travelling overseas, The Queen does not require a British passport. As aBritish passport is issued in the name of Her Majesty, it is unnecessary for TheQueen to possess one. ... All other members of the Royal Family, including The Duke of Edinburgh and The Prince of Wales, have passports.
Kwanini yeye tu, mbona hata Marais wa mataifa yenye nguvu Duniani kama US, RUSSIA, CHINA na nyingine wa wapspoti??
Je, kuna kiongozi mwingine, ambaye ana hii privilege? Ina maana ana kitu gani cha ajabu??
Naomba msaada huo utawala wa Grand Duchy ukoje huo ?There remain, as of 2020, twelve sovereign monarchies in Europe. Seven are kingdoms: Denmark, Norway, Sweden, the United Kingdom, Spain, the Netherlands and Belgium. Andorra, Liechtenstein, and Monaco are principalities, while Luxembourg is a Grand Duchy. The Vatican City is a theocratic state ruled by the Pope.
viongozi wa nchi hizi pia hawana pasipoti?
A grand duchy is a country whose head of state is a Grand Duke or Grand Duchess.Naomba msaada huo utawala wa Grand Duchy ukoje huo ?
Kuna tofauti ya kutokuwa na kutokuihitaji i.e. kutokuhitajika ktk matumizi ya kiofisi/kiutendaji.Akifa mrith wake pia hatakuwa na pasi ya kusafiria??
umejibu vzr sana mkuuIts funny that jibu lako lipo kwenye hayo maandishi ya kiingereza na bado unatuuliza,
Okay hana passport wala leseni sababu hivyo vitu viwili vipo chini ya majina yake, wakaona haina haja yeye kumiliki.
Kuna bro pale juu kaeleza vizuri juu ya tofauti kati ya utawala wa kifalme na utawala wa kidemokrasia,Kwa hiyo viongozi wa nchi duniani hawana passport ?
Sidhani kama wanahitaji.Namna uliyotumia kumjibu ni namna walau sahihi ya kumwelewesha mtu.
Imagine, kwenye post yake kuna mahali panasema, "As a British passport is issued in the name of Her Majesty, it is unnecessary for The Queen to possess one."
Mimi pia nimeelewa, na ningependa kuongeza maswali, tuna nchi kama Saudi Arabia ambazo ziko chini ya tawala za kifalme, utaratibu wao ukoje kuhusu passports? Kama passports zao zinakuwa in the names of Kings, hao Kings nao hawamiliki passports?
Umeandika vyema sana.Jibu ni YES, Kings and Queens hawahitaji Passport kama wakisafiri kwenda nchi zingine,
Kumbuka, Passport ni kwa ajili ya Kiongozi wa nchi husika kumuombea kibali RAIA wake kuingia kwenye nchi anayoitaka,
Sasa kama mwenye nchi (King or Queen) ndie anataka kusafiri hana haja ya kua na passport sababu hizo passports zipo chini ya majina yake.
Unaweza ku google kwa taarifa zaidi.
What about the Dlamini family aka MUSWAT?Jibu ni YES, Kings and Queens hawahitaji Passport kama wakisafiri kwenda nchi zingine,
Kumbuka, Passport ni kwa ajili ya Kiongozi wa nchi husika kumuombea kibali RAIA wake kuingia kwenye nchi anayoitaka,
Sasa kama mwenye nchi (King or Queen) ndie anataka kusafiri hana haja ya kua na passport sababu hizo passports zipo chini ya majina yake.
Unaweza ku google kwa taarifa zaidi.
When travelling overseas, The Queen does not require a British passport. As aBritish passport is issued in the name of Her Majesty, it is unnecessary for TheQueen to possess one. ... All other members of the Royal Family, including The Duke of Edinburgh and The Prince of Wales, have passports.
Kwanini yeye tu, mbona hata Marais wa mataifa yenye nguvu Duniani kama US, RUSSIA, CHINA na nyingine wa wapspoti??
Je, kuna kiongozi mwingine, ambaye ana hii privilege? Ina maana ana kitu gani cha ajabu??
Jibu ni YES, Kings and Queens hawahitaji Passport kama wakisafiri kwenda nchi zingine,
Kumbuka, Passport ni kwa ajili ya Kiongozi wa nchi husika kumuombea kibali RAIA wake kuingia kwenye nchi anayoitaka,
Sasa kama mwenye nchi (King or Queen) ndie anataka kusafiri hana haja ya kua na passport sababu hizo passports zipo chini ya majina yake.
Unaweza ku google kwa taarifa zaidi.
There remain, as of 2020, twelve sovereign monarchies in Europe. Seven are kingdoms: Denmark, Norway, Sweden, the United Kingdom, Spain, the Netherlands and Belgium. Andorra, Liechtenstein, and Monaco are principalities, while Luxembourg is a Grand Duchy. The Vatican City is a theocratic state ruled by the Pope.
Hivi hizi nchi pia si ni monarchy? inamaana hao viongozi nao pia hawana paspoti
@Culture Me ametoa ufafanuzi mzuri.Sidhani kama wanahitaji.
Tayari kila passport inayomilikiwa na raia wa taifa lake imeidhinishwa na yeye na ikumbukwe kuwa utawala wake unafikia ukomo tuu pale anapofariki.
Kwa maana nyingine, as long as anaoshi na anavuta pumzi atakuwa akitambulika na dunia/ulimwengu mzima kama mtawala wa nchi/taifa husika.
Yeye mwenyewe tayari anatambulika kama nembo ya taifa lake.
Mfano: leo hii mtu akikutajia jina Lionel Messi kwa haraka haraka mtu atafikiria kuhusu Barcelona na Argentina, ukitajiwa jina Pele utaifikiria Brazil.
NB:
Kuwa na document ambayo umeithibitisha mwenyewe na ambayo kiapo kipo katika jina lako kama mamlaka ya juu kabisa haileti maana.
As long as ni KING lazima hatokua na Passport lakini familia yake inazo,What about the Dlamini family aka MUSWAT?
Here remain, as of 2020, twelve sovereign monarchies in Europe. Seven are kingdoms: Denmark, Norway, Sweden, the United Kingdom, Spain, the Netherlands and Belgium. Andorra, Liechtenstein, and Monaco are principalities, while Luxembourg is a Grand Duchy. The Vatican City is a theocratic state ruled by the Pope.Sidhani kama wanahitaji.
Tayari kila passport inayomilikiwa na raia wa taifa lake imeidhinishwa na yeye na ikumbukwe kuwa utawala wake unafikia ukomo tuu pale anapofariki.
Kwa maana nyingine, as long as anaoshi na anavuta pumzi atakuwa akitambulika na dunia/ulimwengu mzima kama mtawala wa nchi/taifa husika.
Yeye mwenyewe tayari anatambulika kama nembo ya taifa lake.
Mfano: leo hii mtu akikutajia jina Lionel Messi kwa haraka haraka mtu atafikiria kuhusu Barcelona na Argentina, ukitajiwa jina Pele utaifikiria Brazil.
NB:
Kuwa na document ambayo umeithibitisha mwenyewe na ambayo kiapo kipo katika jina lako kama mamlaka ya juu kabisa haileti maana.