Kwanini ukiishi nchi za wenzetu zilioendelea zenye ajira nyingi, maisha mazuri safi good hygiene medical care nzuri nk. Lakini stress miongoni mwa watu ziko high mpaka kusababisha high blood pressure, Ulaya kutembea na kifaa cha kupima mapigo ya moyo ni sehemu ya maisha ya kila siku, hyper stress mpaka watu wanaamua kujiua(sucide).
Watu wanakata tamaa na maisha rehabilitation houses ni nyingi, psychiatrist ni wengi kwasababu idadi ya watu wanaochanganyikiwa ni wengi kila siku hususani wale ambao wamekaa kwa muda mrefu 10. 20 30 40, kama wamechanganyikiwa hivi..........
Mimi nafikiri Uchumi wa wenzetu hauruhusu mtu kuendelea bila kufanya savings kwa kujinyima, mtu anaingia miaka 60, haoni jipya zaidi ya hand to mouth income, lazima apate stress na high blood pressure imuue mapema ndo utasikia amekufa kwa heart attack.......
Wakati hapa watu wanadunda bila ajira na wana vitambi na pressure hawana siku nzima unajadilli mechi ya Simba na Yanga siku zinaenda, hana shida yoyote, shida zingine ni za kujitafutia, msitamani kwenda Ulaya kuishi.
Watu wanakata tamaa na maisha rehabilitation houses ni nyingi, psychiatrist ni wengi kwasababu idadi ya watu wanaochanganyikiwa ni wengi kila siku hususani wale ambao wamekaa kwa muda mrefu 10. 20 30 40, kama wamechanganyikiwa hivi..........
Mimi nafikiri Uchumi wa wenzetu hauruhusu mtu kuendelea bila kufanya savings kwa kujinyima, mtu anaingia miaka 60, haoni jipya zaidi ya hand to mouth income, lazima apate stress na high blood pressure imuue mapema ndo utasikia amekufa kwa heart attack.......
Wakati hapa watu wanadunda bila ajira na wana vitambi na pressure hawana siku nzima unajadilli mechi ya Simba na Yanga siku zinaenda, hana shida yoyote, shida zingine ni za kujitafutia, msitamani kwenda Ulaya kuishi.