kawombe
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 13,185
- 13,605
Alitaka kuwatumia kisiasa kwenye wazo lake la kuja kubadili katiba na kuendelea kutawala.
Huu ndio ukweli kabisa 100%
Alitaka kuwatumia kisiasa kwenye wazo lake la kuja kubadili katiba na kuendelea kutawala.
cheap popularityWanabodi,
Hebu tujuzane hapa sababu zilizopelekea Rais wa awamu ya 5 hayati Magufuli kuwalinda Wamachinga hata kwa kutengua teuzi zake mbalimbali.
Je, sababu hizo zina msingi wowote au ni huruma zake tu?
Naomba tuelimishane hapa pls
Only cheap popurality. Hakuna kingineFalsafa ya
"Raisi wawanyonge"
Aliionyesha kwa vitendo
Kwani hawa Machinga wameanza leo au kwenye utawala wa JPM ?..... hawa walikuwapo na wataendelea kuwapo pia asilimia kubwa ya vibanda vilivyo wekwa barabarani ni wafanyabiashara wenye kipata kikubwa na sio MACHINGA halisi wanaojulikana kwa miaka yote ukweli lazima usemwe huwezi kuufanya mji kama namna ile ya vibanda banda kila corner uli ni UTAHIRA .Machinga ni mtego mbaya wa kisiasa.
Rais atapata tabu kuendesha serikali yake.
Hawa watu ni wengi sana kuliko wenye ajira na biashara rasmi na wana wategemezi.
Kuna hitajika busara kukaa nao.
Kukaa nao ni kama kulea kidonda ndugu ambacho kitatuua wote..., dawa ni kuacha kuwazalisha..., Thus Serikali ifanye kazi zake kwa kuleta Sera za kumaliza tatizo na sio Shortcut na kupiga dana dana..., (yaani machinga ambao wangekuja kesho na keshokutwa badala ya kuwa machinga wawe jambo lingine)Machinga ni mtego mbaya wa kisiasa.
Rais atapata tabu kuendesha serikali yake.
Hawa watu ni wengi sana kuliko wenye ajira na biashara rasmi na wana wategemezi.
Kuna hitajika busara kukaa nao.
Umeliongelea kwenye angle ya kijamii hasa mahitaji na umuhimu wake.Machinga ni mtego mbaya wa kisiasa.
Rais atapata tabu kuendesha serikali yake.
Hawa watu ni wengi sana kuliko wenye ajira na biashara rasmi na wana wategemezi.
Kuna hitajika busara kukaa nao.
... unazungumzia mji gani na maeneo yapi Chief?
Aliwakumbatia wapi mkuu? Magufuli aliweka wazi wamachinga wafanye biashara kwa kufuata taratibu
Sikiliza uelewe
.... kama mapafu yalishatepeta lazima kilale na wewe mbele kwa mbele!Mkuu hii ilikuwa siku ngapi kabla ya March ile?
Kirusi kile kisikilizie kwenye Runinga.
Seems Magufuli's legacy is so entrenched to the fabric of our politics that it'll take years to forget him. No day passes without any mention of him from across all walks of life in TanzaniaWanabodi,
Hebu tujuzane hapa sababu zilizopelekea Rais wa awamu ya 5 hayati Magufuli kuwalinda Wamachinga hata kwa kutengua teuzi zake mbalimbali.
Je, sababu hizo zina msingi wowote au ni huruma zake tu?
Naomba tuelimishane hapa pls
yVibanda vimebomolewa mji leo umekuwaq mweupe kabisa, Kweli machinga waondoke tu na JPM
.... kama mapafu yalishatepeta lazima kilale na wewe mbele kwa mbele!
Sasa huoni unapingana na wazo la kwamba alikuwa anafanya mtaji wa siasa?CCM haipogo madarakani kwa sababu ya kura ya mtu yeyote yule toka mfumo wa vyama vingi uanze. Kura zake inapatikana kwa namna isiyoelezeka
Ile ni zuga ya JPM kuwa ana watu. Lakini kiuhalisia kura yao haina nafasi ktk ushindi wake. Sanasana angewatumia kama kichocheo cha kubadili Katiba ili atawale milele.Sasa huoni unapingana na wazo la kwamba alikuwa anafanya mtaji wa siasa?
Kama kwenye kura ccm huwa haitegemei kura za watu, kwani kwenye kubadili katiba watu wangekuwa na umuhuimu upi?Ile ni zuga ya JPM kuwa ana watu. Lakini kiuhalisia kura yao haina nafasi ktk ushindi wake. Sanasana angewatumia kama kichocheo cha kubadili Katiba ili atawale milele.
Mkuu unafurahi wenzio kupoteza vyanzo vya mapato? Ama kweli mtu mweusi amelaaniwaVibanda vimebomolewa mji leo umekuwaq mweupe kabisa, Kweli machinga waondoke tu na JPM
Wangeingia barabarani wakipaza sauti kuwa JPM aongezewe muda Kwa visingizio vya uzalendo almradi Dunia ione kuwa ni support ya watanzania kumbe ulaghai tu. Mungu aliona hila hii mapema akaona aweke rekodi sawa kablq haijaja siku iliyombaya.Kama kwenye kura ccm huwa haitegemei kura za watu, kwani kwenye kubadili katiba watu wangekuwa na umuhuimu upi?