JOHN MADIBA
JF-Expert Member
- Jan 30, 2011
- 251
- 155
Hii kali ya mwaka mafisadi wameiba ma billion ya fedha hata kuulizwa serikali inawaogopa huyu mbowe hata senti tana ajachakachua kasekwa rumande na jeshi la polisi kutumia gharama kubwa kumlinda na kumsafirisha kwa helikopta hadi arusha na mahakama kumwachia huru kwa dhamana ile ile ya mwanzo. Hii serikali imechemsha katika kujali maslahi ya taifa gharama za kulipa posho kwa ffu na usafiri wa helikopta ungeweza kusaidia vikongwe wangapi wanaoshindwa kwenda kupata huduma za afya vijijini. Tujiulize hao mafisadi wawajulikani mbona polisi haiwakamati...