tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Wakuu,
Nimekuwa nikijiuliza sana kuhusu hawa watu wanaojinadi kutibu watu kwa kinachoitwa tiba mbadala!! Gharama za dawa zao ni kubwa sana, alafu packaging mbovu na sijui kama huwa zinathibishwa na TFDA!
Utakuta dawa ya vidonda vya tumbo eti laki 3, mara kisukari mil 3! Hizi gharama zote ni halisi au utapeli tu na kutaka mafanikio ya fasta fasta?
Majuzi hapa nimesumbuliwa na tumbo, kwenda kwa hawa jamaa naambiwa et dozi 240,000... dozi miezi minne! Nililipa 60,000 nikapewa maunga hata hayaeleweki... wiki 3 nakunywa hakuna lolote! Yani yote nimeshayatupa!!
Nimekuwa nikijiuliza sana kuhusu hawa watu wanaojinadi kutibu watu kwa kinachoitwa tiba mbadala!! Gharama za dawa zao ni kubwa sana, alafu packaging mbovu na sijui kama huwa zinathibishwa na TFDA!
Utakuta dawa ya vidonda vya tumbo eti laki 3, mara kisukari mil 3! Hizi gharama zote ni halisi au utapeli tu na kutaka mafanikio ya fasta fasta?
Majuzi hapa nimesumbuliwa na tumbo, kwenda kwa hawa jamaa naambiwa et dozi 240,000... dozi miezi minne! Nililipa 60,000 nikapewa maunga hata hayaeleweki... wiki 3 nakunywa hakuna lolote! Yani yote nimeshayatupa!!