ngokowalwa
Senior Member
- Jul 22, 2011
- 154
- 23
Inasikitisha sana wa tz tunapoingia miaka 50 huku tunaangalia wa kutuongoza mwenye tuhuma zinazovumilika na wananchi maana wote wameoza.anayepinga kuwa Lowassa si bora kwa CCM 2015 atueleze ndani ya yupi mwenye nafuu zaidi ya Lowassa (AU NANI ASIYE NA TUHUMA NDANI YA CCM?)