Kwanini kila kitu serikali ndio ilaumiwe?

mimi si mwanasiasa ila nina mitizamo yangu tu kwa hiyo nisaidie kubadilisha mitizamo yangu kwani mpaka sasa hujafanikiwa inawezekana nina tatizo la kutoelewa haraka embu weka hapa role za serikali na wananchi unavyoelewa wewe?ili kunielewesha zaidi
Mwana JF Hofstede amekueleza baadhi ya roles za serikali. Lakini ili tufanye vitu objectively nitakuwa ktk fasi nzuri kufanya hiyvo (kukufahamisha role ya serikali specifically)ukitoa orodha ya mambo ambayo unadai serikali inalaumiwa sana kwayo...
 
Sikuwa nimepanga kupoteza muda kwenye hii thread ila kwa kuwa inaonesha kuwa una mapungufu sina budi nikuweke sawa. Unajua maana ya neno "Mamlaka", Authority?. Kama unajua haya basi hukupaswa kuanzishwa thread hii. Serikali ina mamlaka ya kukusanya kodi, kuzilinda na kuhakikisha hazitumiwi visivyo. Serikali ina mamlaka na kwa kuwa ina mamlaka basi kila kitu kinapoenda mrama wa kulaumiwa ni serikali ambayo inashindwa kutumia mamlaka iliyopewa kuhakikisha mambo yanaenda vizuri.Unataka wahandisi wajitolee suala la umeme kwa mamlaka gani waliyonayo?, Anyway, kajifunze kwanza kama mtu mmoja alivyokushauri hapo juu.
sio vizuri kumcritisize m2 pasipo kumuelimisha nikajifunze wapi wakati sa hv umri kurudi shule haupo,mnatakiwa kuwa tayari kuelimisha na kufundisha na kwa furaha sio kuona kero mwalimu wako angeona kero kurudia rudia kukufundisha kusoma ungeweza kusoma hii topic be proud u hav not wasted ur time basi chadema tuache kuelimisha wa2 juu ya katiba tuwaambie wakajifunze wapi?hata mi si perfect ndo maana nipo tayari kupokea mawazo yenu,loh embu kuwenu tayari kufundishana juu ya mambo mbalimbali ili tusonge mbele,
 
Nafarijika sana kuwa ungependa kujua. Nilitegemea unipe mifano ili tujadili vitu kwa tija zaidi. Kwa kuwa hauko tayari kufanya hivyo basi tuongelee kwa ujumla tu.

kifupi serikali inalojukumu moja kubwa sana la kuweka taratibu na MAZINGIRA SAHiHI kwa wananchi wake kuendesha shughuli za kijamii na kiuchumi.

Serikali inawezeshwa na wananchi kufanya kazi hiyo ya kuweka mazingira sahihi kwa kodi mbalimbali wanazolipa serikalini kwa njia mbalimbali.

Utaona ni maeneo mengi ambayo serikali ina hayo majukumu mfano miundo mbinu, afya, elimu, ulinzi, mazingira, matumizi ya ardhi, rasilimali zote, etc

Utaona kuwa wananchi wanapoilalamikia serikali wanafanya hivyo kutokana na kodi wanazolipa na huduma zinazotolewa na serikali si hisani. Kumbuka kila mtanzania hulipa kodi. Na hili naomba uelewe hata pale serikali inapokopa nje au kupatiwa misaada..yote huwa in the name of watz

Kwa hiyo ukisikia watu wanalalamika kuwa barabara ni mbaya, ukosefu wa maji safi, utawala mbovu, huduma za afya, mazingira mabaya ya kufanya biashara, matumizi mabaya ya serikali, ufisadi etc etc. Ni wajibu wao kufanya hivyo na ndiyo maana kuna utaratibu wa kuisimamia serikali kupitia wabunge.
 
Nafarijika sana kuwa ungependa kujua. Nilitegemea unipe mifano ili tujadili vitu kwa tija zaidi. Kwa kuwa hauko tayari kufanya hivyo basi tuongelee kwa ujumla tu.

kifupi serikali inalojukumu moja kubwa sana la kuweka taratibu na MAZINGIRA SAHiHI kwa wananchi wake kuendesha shughuli za kijamii na kiuchumi.

Serikali inawezeshwa na wananchi kufanya kazi hiyo ya kuweka mazingira sahihi kwa kodi mbalimbali wanazolipa serikalini kwa njia mbalimbali.

Utaona ni maeneo mengi ambayo serikali ina hayo majukumu mfano miundo mbinu, afya, elimu, ulinzi, mazingira, matumizi ya ardhi, rasilimali zote, etc

Utaona kuwa wananchi wanapoilalamikia serikali wanafanya hivyo kutokana na kodi wanazolipa na huduma zinazotolewa na serikali si hisani. Kumbuka kila mtanzania hulipa kodi. Na hili naomba uelewe hata pale serikali inapokopa nje au kupatiwa misaada..yote huwa in the name of watz

Kwa hiyo ukisikia watu wanalalamika kuwa barabara ni mbaya, ukosefu wa maji safi, utawala mbovu, huduma za afya, mazingira mabaya ya kufanya biashara, matumizi mabaya ya serikali, ufisadi etc etc. Ni wajibu wao kufanya hivyo na ndiyo maana kuna utaratibu wa kuisimamia serikali kupitia wabunge.

nashukuru sana Mo - Town kwa kuwa tayari kuelimisha nimepata unachomaanisha kwa sababu mimi nimesoma kazi baadhi za serikali shuleni lakini nikawa najua kazi ya serikali ni kama ya meneja kuhakikisha wananchi wanafanya kazi, wanatii sheria ambazo zimewekwa kuwasaidia na kutunga zinazoweza kuwasaidia, kuhakikisha kazi za wananchi zinakuza uchumi na kuwanufaisha na kuhakikisha nchi inakua na katika uelewa wangu nikajua mwananchi pia anarole yake kulingana na ngazi ya elimu yake na serikali ipo kuhakikisha wanawajibika na wasipowajibika wanachukuliwa hatua lakini mwananchi anapoamua kuuza chakula nje wakati jimboni kwake kuna njaa badala ya kuwauzia wenye hitaji nchini kwake serikali iwasaidiaje? nimejiuliza mengi ndio nikasema wananchi pia kuna sehemu tunapokosea? na pia ndugu si wote wanalipa kodi viwanda vingi hivi hakuna wataalamu wakujitolea kuvifufua kwa sharti la kupewa hisa na kunufaika baadaye kikishakua?
 
pia me naungan na wengi waliochangia 1,serikal ndo inaoanda sera 'policy'kwa kuendesha nchi kwa kutumia kodi za wananchi,mwananch hana ata chembe ya kulaumiwa misingi mibov ya gvt ndo inayosababisha ngoja ilaumiwe
 
Ndugu zangu nafikiri kuna kulaumu serikali kulikozidi,wananchi pia tuna wajibu wa kutenda na kuisaidia serikali,mfano katika suala la umeme je wahandisi umeme wa nchi nzima wakijitolea kutafuta suluhu ya hili jambo hata kama ni njia nyingine mbadala kweli hatutapata majibu kwani lazima wazungu tunasomesha vijana wa nini?mfano wa pili ni mtu anayelalamika njaa wakati maji yanapita hapo mdomoni kwake anapewa chakula sawa na m2 aliyepo sehemu yenye jangwa pasipo kuwajibishwa?kweli serikali inatakiwa kutembea na viboko kufundisha wananchi kila kaya kulima mboga kwenye bustani zao je elimu ya sayansi kilimo tuliyopata haitoshi kila mtanzania kulima bustani ya mboga?mfano wa tatu mtu umeajiriwa lakini mara nyingi unakuta ofisini ni internet na zogo serikali ifanyaje,ingawa serikali ina mapungufu lakini hata sisi wananchi tuna mapungufu,kama hata mitaro kando ya barabara ya kwenda kwako huwezi kuzibua ili mvua ikinyesha usidhurike unasubiri serikali kuna tatizo,jamani huu ndio mtizamo wangu mwenye hoja tofauti,nyongeza au masahìhisho nawakaribisha tujadili pamoja tusonge mbele.

serikali isiyo shirikishi ni lazima ilaumiwe hadi hapo itakapojirekebisha au kuachia ngazi kwa nguvu ya umma.....................
 
Asante sana kwa kuuleta mjadala huu. Tunaposema Serikali, inamaanisha Viongozi pamoja na Raia. Je, wote wanawajibika sawasawa? Au nani alaumiwe? Tunatizama mambo makubwaaaaa, tunayaacha madogo, ambayo hatimaye ndiyo yanaumba kitu. Swali lilikuwa ......je, kila kitu Serikali ilaumiwe?.... Nadhani hapa alimaanisha UONGOZI ulaumiwe?
Hapa natoa mifano rahisi tu (simple):-

1. Sehemu za kutupa takataka zimewekwa, raia anakula mahindi, anarusha gunzi popote, anamenya pipi anarusha ganda, anakunywa maji ya chupa akimaliza anairusha, pengine hata pembeni ya chombo kilichowekwa cha taka!!!! Hapo nani alaumiwe? Kiongozi au raia??

2. Vituo vya daladala vimejengewa benchi lenye paa kwa ajili ya kuweka kivulu wakati wa jua na mvua. Unakuta limengolewa, chuma chakavu imekwenda kuuzwa. Nani alaumiwe?

3. Mtu anajenga nyumba, hajengi choo, anajisaidia shambani, akiamini anaweka mbolea. Nani alaumiwe?? Kama ni elimu inatolewa kotekote.

4. Mtu ananunua kiwanja, anajenga kote haachi hata futi moja, halafu ikihitajika njia ya gari inakuwa tabu. Moto ukiwaka zimamoto inakosa pa kupita. Mgonjwa akizidiwa hakuna jinsi ya kumsafirisha haraka, anakufa.Je, nani alaumiwe?

5. Unapanda kwenye daladala, unasikia konda au dreva anamwita mwenzake kwa lugha ya matusi "... wee k....m... njoo, umekula leo?? Shika hii noti ukale. " Lengo zuri, lugha chafu. Je, nani alaumiwe??? Viongozi au raia?

6. Unaingia Hotelini, unaagiza chakula, vyombo vinasuuzwa haraka haraka bila sabuni,maji ya baridi, kama sahani, kijiko na glass, unapakuliwa chakula. Ukiambukizwa unakwenda kutibiwa kwa pesa nyingi, ama kama huna uwezo unakufa!!! Nani alaumiwe?

7. Unabeba mimba , miezi 9, lakini hujaandaa mahitaji muhimu ya kwenda nayo hospitali, kama pamba, gloves, syringe, dettol, n.k. kwa kuwa hospitali za Serikali wanaagiza vitu hivyo. Halafu wakati vinatafutwa uchungu unazidi unajifungua kienyeji. Nani alaumiwe utakapoambukizwa maradhi? Au mtoto akifa utamlaumu nani? Kiongozi au Serikali? Ni kweli Serikali ilipaswa kutoa huduma hizo bure, lakini hali halisi ilivyo, Serikali ama uongozi umeshindwa, umekupa bure clinic na dawa baadhi. Kwa hiyo uache kujiandaa ufe??

8. Unanunua T.V. kwa bei mbaya, halafu unawaachia watoto wanaangalia kila program bila udhibiti wowote, wanajifunza maadili mabaya, wanaanza kuvaa nusu uchi, hawatii tena mamlaka ya nyumbani, vijana wengine wanaiga mbinu za kwenda kufanya uhalifu, n.k Nani alaumiwe?

KUMBUKA: Hawa ndio raia na viongozi watarajiwa. Taifa letu litakuwa/linakuwa na sura gani??

Ufisadi na mambo mengine ni makubwa mno, lakini chanzo chake ni nini???? UBINAFSI. Sasa kama ubinafsi upo, ukitaka kuwa kweli, huenda wewe ungepewa nafasi ya kuongoza/kutawala, ungekuwa mbaya zaidi ya waliopo, sijui. Lakini kutegemeana na malezi yako, labda ungekuwa afadhali. Ninachojua mimi, wengi wanalalamikia uongozi kwa sbb hawajapata manufaa ya ulaji wanaoupata wengine. Wangepata wangekaa kimya.

MAONI YANGU BINAFSI:

Kamwe USAWA, HAKI, UPENDO WA KWELI, havitapatikana katika mfumo wa serikali za kibinadamu. Hii ni kwa sababu katika siasa LAZIMA kuwe na uadui kati ya wapenda haki na wapinga haki. Hata umweke kiongozi gani, atakuwa na wapinzani/maadui tu. Awe mzuri au mbaya.

SULUHISHO:

SERIKALI YA MWENYEZI MUNGU, CHINI YA MFALME WAKE YESU KRISTO, ndiyo itakayoleta HAKI duniani kote, wala si Tanzania tu. Na raia wake wanaanza kujiunga sasa. Dalili zinaonyesha bado muda si mrefu, itaondoa serikali zoooote duniani na yenyewe peke yake kushika hatamu. Tambua nyakati, soma Daniel 2:44.

Nawatakia mjadala mwema. Anayependa kujua zaidi afungue katika google, aandike www.jw.org atapata kujua mengi zaidi.

Nawapenda wote.
 
serikali tumeiweka madarakani ili isimamie na ituatie haki zetu, ni wajibu wa serikali kuboresha maisha ya wananchi wake hivyo lazima ilaumiwe inaposhindwa kufanya hivyo.

Ndugu zangu nafikiri kuna kulaumu serikali kulikozidi,wananchi pia tuna wajibu wa kutenda na kuisaidia serikali,mfano katika suala la umeme je wahandisi umeme wa nchi nzima wakijitolea kutafuta suluhu ya hili jambo hata kama ni njia nyingine mbadala kweli hatutapata KAKA HIYO SERIKALI NDO INAYOWABANA WASOMI, HAPO TANESCO KUNA WATAALAMU KIBAO ILA SERIKALI HAITAKI KUWATUMIA HIVYO WANACHUKULIA KILA KITU KISIHASA, KWA MFANO SWALA LA UMEME SASA MZUNGUMZAJI NA MTENDAJI MKUU NI NGEREJA. majibu kwani lazima wazungu tunasomesha vijana wa nini?mfano wa pili ni mtu anayelalamika njaa wakati maji yanapita hapo mdomoni kwake anapewa chakula sawa na m2 aliyepo sehemu yenye jangwa pasipo kuwajibishwa? KAKA HUYO MTU AMBAYE ANAKAA SEHEMU MAJI YANAPITA, JE SERIKALI IMESHAMJENGE MIUNDOMBINU YAKUTOSHA KUWA NA KILIMO PRODUCTIVE? JE, ANAPATA PEMBEJEO KWA WAKATI? kweli serikali inatakiwa kutembea na viboko kufundisha wananchi kila kaya kulima mboga kwenye bustani zao je elimu ya sayansi kilimo tuliyopata haitoshi kila mtanzania kulima bustani ya mboga?mfano wa tatu mtu umeajiriwa lakini mara nyingi unakuta ofisini ni internet na zogo serikali ifanyaje,ingawa serikali ina mapungufu lakini hata sisi wananchi tuna mapungufu,kama hata mitaro kando ya barabara ya kwenda kwako huwezi kuzibua ili mvua ikinyesha usidhurike unasubiri serikali kuna tatizo,jamani huu ndio mtizamo wangu mwenye hoja tofauti,nyongeza au masahìhisho nawakaribisha tujadili pamoja tusonge mbele. HIVYO VIBOKO WAANZE KUCHAPWA VIONGOZI KWANZA MAANA NDO VIRANJA WA WANANCHI. MWANANCHI HANA KOSA HAPO ISIPOKUWA SERIKALI AMBAYO INAPANGA SERA MBOVU.
 
Asante sana kwa kuuleta mjadala huu. Tunaposema Serikali, inamaanisha Viongozi pamoja na Raia. Je, wote wanawajibika sawasawa? Au nani alaumiwe? Tunatizama mambo makubwaaaaa, tunayaacha madogo, ambayo hatimaye ndiyo yanaumba kitu. Swali lilikuwa ......je, kila kitu Serikali ilaumiwe?.... Nadhani hapa alimaanisha UONGOZI ulaumiwe?Hapa natoa mifano rahisi tu (simple):-1. Sehemu za kutupa takataka zimewekwa, raia anakula mahindi, anarusha gunzi popote, anamenya pipi anarusha ganda, anakunywa maji ya chupa akimaliza anairusha, pengine hata pembeni ya chombo kilichowekwa cha taka!!!! Hapo nani alaumiwe? Kiongozi au raia??2. Vituo vya daladala vimejengewa benchi lenye paa kwa ajili ya kuweka kivulu wakati wa jua na mvua. Unakuta limengolewa, chuma chakavu imekwenda kuuzwa. Nani alaumiwe?3. Mtu anajenga nyumba, hajengi choo, anajisaidia shambani, akiamini anaweka mbolea. Nani alaumiwe?? Kama ni elimu inatolewa kotekote.4. Mtu ananunua kiwanja, anajenga kote haachi hata futi moja, halafu ikihitajika njia ya gari inakuwa tabu. Moto ukiwaka zimamoto inakosa pa kupita. Mgonjwa akizidiwa hakuna jinsi ya kumsafirisha haraka, anakufa.Je, nani alaumiwe?5. Unapanda kwenye daladala, unasikia konda au dreva anamwita mwenzake kwa lugha ya matusi "... wee k....m... njoo, umekula leo?? Shika hii noti ukale. " Lengo zuri, lugha chafu. Je, nani alaumiwe??? Viongozi au raia?6. Unaingia Hotelini, unaagiza chakula, vyombo vinasuuzwa haraka haraka bila sabuni,maji ya baridi, kama sahani, kijiko na glass, unapakuliwa chakula. Ukiambukizwa unakwenda kutibiwa kwa pesa nyingi, ama kama huna uwezo unakufa!!! Nani alaumiwe?7. Unabeba mimba , miezi 9, lakini hujaandaa mahitaji muhimu ya kwenda nayo hospitali, kama pamba, gloves, syringe, dettol, n.k. kwa kuwa hospitali za Serikali wanaagiza vitu hivyo. Halafu wakati vinatafutwa uchungu unazidi unajifungua kienyeji. Nani alaumiwe utakapoambukizwa maradhi? Au mtoto akifa utamlaumu nani? Kiongozi au Serikali? Ni kweli Serikali ilipaswa kutoa huduma hizo bure, lakini hali halisi ilivyo, Serikali ama uongozi umeshindwa, umekupa bure clinic na dawa baadhi. Kwa hiyo uache kujiandaa ufe??8. Unanunua T.V. kwa bei mbaya, halafu unawaachia watoto wanaangalia kila program bila udhibiti wowote, wanajifunza maadili mabaya, wanaanza kuvaa nusu uchi, hawatii tena mamlaka ya nyumbani, vijana wengine wanaiga mbinu za kwenda kufanya uhalifu, n.k Nani alaumiwe?KUMBUKA: Hawa ndio raia na viongozi watarajiwa. Taifa letu litakuwa/linakuwa na sura gani??Ufisadi na mambo mengine ni makubwa mno, lakini chanzo chake ni nini???? UBINAFSI. Sasa kama ubinafsi upo, ukitaka kuwa kweli, huenda wewe ungepewa nafasi ya kuongoza/kutawala, ungekuwa mbaya zaidi ya waliopo, sijui. Lakini kutegemeana na malezi yako, labda ungekuwa afadhali. Ninachojua mimi, wengi wanalalamikia uongozi kwa sbb hawajapata manufaa ya ulaji wanaoupata wengine. Wangepata wangekaa kimya.MAONI YANGU BINAFSI:Kamwe USAWA, HAKI, UPENDO WA KWELI, havitapatikana katika mfumo wa serikali za kibinadamu. Hii ni kwa sababu katika siasa LAZIMA kuwe na uadui kati ya wapenda haki na wapinga haki. Hata umweke kiongozi gani, atakuwa na wapinzani/maadui tu. Awe mzuri au mbaya.SULUHISHO:SERIKALI YA MWENYEZI MUNGU, CHINI YA MFALME WAKE YESU KRISTO, ndiyo itakayoleta HAKI duniani kote, wala si Tanzania tu. Na raia wake wanaanza kujiunga sasa. Dalili zinaonyesha bado muda si mrefu, itaondoa serikali zoooote duniani na yenyewe peke yake kushika hatamu. Tambua nyakati, soma Daniel 2:44.Nawatakia mjadala mwema. Anayependa kujua zaidi afungue katika google, aandike www.jw.org atapata kujua mengi zaidi.Nawapenda wote.
nakushukuru sana sana umeelezea vizuri sana na kwa mifano mizuri kweli,umesema ukweli kabisa.Mungu akubariki uzidi kutuelimisha wengi zaidi,
 
nashukuru sana Mo - Town kwa kuwa tayari kuelimisha nimepata unachomaanisha kwa sababu mimi nimesoma kazi baadhi za serikali shuleni lakini nikawa najua kazi ya serikali ni kama ya meneja kuhakikisha wananchi wanafanya kazi, wanatii sheria ambazo zimewekwa kuwasaidia na kutunga zinazoweza kuwasaidia, kuhakikisha kazi za wananchi zinakuza uchumi na kuwanufaisha na kuhakikisha nchi inakua na katika uelewa wangu nikajua mwananchi pia anarole yake kulingana na ngazi ya elimu yake na serikali ipo kuhakikisha wanawajibika na wasipowajibika wanachukuliwa hatua lakini mwananchi anapoamua kuuza chakula nje wakati jimboni kwake kuna njaa badala ya kuwauzia wenye hitaji nchini kwake serikali iwasaidiaje? nimejiuliza mengi ndio nikasema wananchi pia kuna sehemu tunapokosea? na pia ndugu si wote wanalipa kodi viwanda vingi hivi hakuna wataalamu wakujitolea kuvifufua kwa sharti la kupewa hisa na kunufaika baadaye kikishakua?
Nadhani sasa walau tunataka ongea lugha moja. Niseme tu kama nilikufahamisha kwenye post yangu ya kwanza kuwa serikali inarole yake wananchi nao pia. Ukiwa na mfano specific juu ya malalamiko itakuwa rahisi kujadili na kuona nani wa kulaumiwa. Angalizo lingine ni kwamba usichukulie serikali kama Manager bali ichukulie kama Leader itakusaidia zaidi kurationalize shughuli zake as opposed to Manage. Kimsingi ni kwamba jukumu la serikali kutoa leadership. Kuhusu wananchi kuuza chakula nje ya nchi..hili swala liko wazi sana isipokuwa linashugulikiwa kisiasa zaidi badala ya kuangaliwa kiuchumi. My take ni kwamba wakulima wakiuza nafaka kwa nzuri ya soko (nje) watakuwa na uwezo kupata hela kiasi cha kuwa na uwezo wa kujinunulia chakula wakati wa shidaNasema issue hii inashugulikiwa kisiasa kwa kuwachukulia wakulima kuwa ni watu wasio na mawazo mazuri kwa kuuza chakula chote kisha kuomba msaada serikalini...ukweli ni kwamba ni kwamba serikali ndio hujiingiza ktk hiyo equation bila kuleta tija.
 
Asante sana kwa kuuleta mjadala huu. Tunaposema Serikali, inamaanisha Viongozi pamoja na Raia. Je, wote wanawajibika sawasawa? Au nani alaumiwe? Tunatizama mambo makubwaaaaa, tunayaacha madogo, ambayo hatimaye ndiyo yanaumba kitu. Swali lilikuwa ......je, kila kitu Serikali ilaumiwe?.... Nadhani hapa alimaanisha UONGOZI ulaumiwe?Hapa natoa mifano rahisi tu (simple):-1. Sehemu za kutupa takataka zimewekwa, raia anakula mahindi, anarusha gunzi popote, anamenya pipi anarusha ganda, anakunywa maji ya chupa akimaliza anairusha, pengine hata pembeni ya chombo kilichowekwa cha taka!!!! Hapo nani alaumiwe? Kiongozi au raia??2. Vituo vya daladala vimejengewa benchi lenye paa kwa ajili ya kuweka kivulu wakati wa jua na mvua. Unakuta limengolewa, chuma chakavu imekwenda kuuzwa. Nani alaumiwe?3. Mtu anajenga nyumba, hajengi choo, anajisaidia shambani, akiamini anaweka mbolea. Nani alaumiwe?? Kama ni elimu inatolewa kotekote.4. Mtu ananunua kiwanja, anajenga kote haachi hata futi moja, halafu ikihitajika njia ya gari inakuwa tabu. Moto ukiwaka zimamoto inakosa pa kupita. Mgonjwa akizidiwa hakuna jinsi ya kumsafirisha haraka, anakufa.Je, nani alaumiwe?5. Unapanda kwenye daladala, unasikia konda au dreva anamwita mwenzake kwa lugha ya matusi "... wee k....m... njoo, umekula leo?? Shika hii noti ukale. " Lengo zuri, lugha chafu. Je, nani alaumiwe??? Viongozi au raia?6. Unaingia Hotelini, unaagiza chakula, vyombo vinasuuzwa haraka haraka bila sabuni,maji ya baridi, kama sahani, kijiko na glass, unapakuliwa chakula. Ukiambukizwa unakwenda kutibiwa kwa pesa nyingi, ama kama huna uwezo unakufa!!! Nani alaumiwe?7. Unabeba mimba , miezi 9, lakini hujaandaa mahitaji muhimu ya kwenda nayo hospitali, kama pamba, gloves, syringe, dettol, n.k. kwa kuwa hospitali za Serikali wanaagiza vitu hivyo. Halafu wakati vinatafutwa uchungu unazidi unajifungua kienyeji. Nani alaumiwe utakapoambukizwa maradhi? Au mtoto akifa utamlaumu nani? Kiongozi au Serikali? Ni kweli Serikali ilipaswa kutoa huduma hizo bure, lakini hali halisi ilivyo, Serikali ama uongozi umeshindwa, umekupa bure clinic na dawa baadhi. Kwa hiyo uache kujiandaa ufe??8. Unanunua T.V. kwa bei mbaya, halafu unawaachia watoto wanaangalia kila program bila udhibiti wowote, wanajifunza maadili mabaya, wanaanza kuvaa nusu uchi, hawatii tena mamlaka ya nyumbani, vijana wengine wanaiga mbinu za kwenda kufanya uhalifu, n.k Nani alaumiwe?KUMBUKA: Hawa ndio raia na viongozi watarajiwa. Taifa letu litakuwa/linakuwa na sura gani??Ufisadi na mambo mengine ni makubwa mno, lakini chanzo chake ni nini???? UBINAFSI. Sasa kama ubinafsi upo, ukitaka kuwa kweli, huenda wewe ungepewa nafasi ya kuongoza/kutawala, ungekuwa mbaya zaidi ya waliopo, sijui. Lakini kutegemeana na malezi yako, labda ungekuwa afadhali. Ninachojua mimi, wengi wanalalamikia uongozi kwa sbb hawajapata manufaa ya ulaji wanaoupata wengine. Wangepata wangekaa kimya.MAONI YANGU BINAFSI:Kamwe USAWA, HAKI, UPENDO WA KWELI, havitapatikana katika mfumo wa serikali za kibinadamu. Hii ni kwa sababu katika siasa LAZIMA kuwe na uadui kati ya wapenda haki na wapinga haki. Hata umweke kiongozi gani, atakuwa na wapinzani/maadui tu. Awe mzuri au mbaya.SULUHISHO:SERIKALI YA MWENYEZI MUNGU, CHINI YA MFALME WAKE YESU KRISTO, ndiyo itakayoleta HAKI duniani kote, wala si Tanzania tu. Na raia wake wanaanza kujiunga sasa. Dalili zinaonyesha bado muda si mrefu, itaondoa serikali zoooote duniani na yenyewe peke yake kushika hatamu. Tambua nyakati, soma Daniel 2:44.Nawatakia mjadala mwema. Anayependa kujua zaidi afungue katika google, aandike www.jw.org atapata kujua mengi zaidi.Nawapenda wote.
Kelema ukichunguza sehemu kubwa ya yote ulioandika hapo utakuta serikali bado ina sehemu ya lawama. Chukua mfano wa kipengele cha kwanza swala la usafi...Mamzalendo nilikufahamisha kuwa moja ya roles za serikali ni kuweka taratibu na kuzisimamia..ndio maana kuna mahakama na mageraza. Katika kipengele cha Kwanza kama serikali haitakuwa na utaratibu mzuri wa kutunza usafi na kusimamia sheria itakuwa ni kazi bure kwa wananchi kujisimamia kwa sababu kila mtu atakuwa na standard yake. Chukua mfano wa Manispaa ya moshi Halmashauri ni serikali imeweka taratibu na kuzisimamia bila mchezo. Angalia halmashauri zingine!! Kumbuka zote hizo ni serikali at local level.Mengine I am afraid umejikita zaidi ktk matokeo badala ya kuangalia chanzo. Mfano wa mama mja mzito kutojiandaa na uzazi kwa maana ya vifaa...kwa hili nahisi huna idea nzuri sana quality ya maisha ya watanzania. Hapa niseme kuna swala la uchumi ambao linasimamiwa na serikali...nchi yenye uchumi mzuri wananchi wake kwa kiwango kikubwa huweza kumudu gharama za maisha kwa kirahisi zaidi. Hapa napenda ufahamu kuwa kuna watanzania wengi tu wanaishi chini ya dola kwa siku..je mtu kama huyo priority kwake itakuwa gloves za uzazi au mlo wa siku hiyo? Just be realistic. Hili swala na uzazi kwa kina mama je unajua kuwa huduma uzazi kwa kina mama kwa hospital za serikali ni bure? Je ndivyo ilivyo kote? Kwani ununue gloves etcKifupi serikali itaendelea kulaumiwa as long haitimizi majukumu yake ipasavyo mfano kusimamia utekelezaji... like wise wananchi wataendelea kupambana na serikali pale wasipotimiza wajibu wao hususani kufuata sheria. Rejea mfano wa manispaa ya Moshi ni zaidi ya watu kutii kuna mamlaka inatimiza wajibu wake.
 
Ndugu yangu kama leo serikali inasubiri wananchi waendeleze eneo lao alafu baada ya kuanza maisha yao ndo serikali inakwenda kuwademolish unategemea nini?kama Zambia wanatumia bandari zetu kusafirisha mafuta yao mbali ya kodi kubwa bei inakuwa chini hapa Tz bei ikiwa juu wananchi wamlaumu nani?kama mali asili zetu za mabilioni zinavushwa nje alafu watoto wanakalia mawe shuleni unadhani pesa ya madawati italetwa na nani?na kama dizeli na petroli ya wenye magari na pesa zao yanashushwa bei alafu mbeleko ya wanyonge ikapandishwa bei wakianza kukata mkaa mazingira yakaharibiwa sana ikawa ukame unadhani nani wa kulaumiwa?

Naamini hata mwanafunzi wa fm6 angeweza kurelate vizuri sana uhusiano uliopo kati ya serikali mbovu na uongozi mbovu na vilio na umaskini wa wananchi wa Taifa letu
 
Aisee kweli JF is no longer the home of great thinkers,kwa mawazo haya ni sifuri. Sasa weweee,hao wahandisi wana capital gani ya kutengeneza miundo mbinu iliyochoka kama ya TANESCO, hata kama utashi huo ungekuwepo.Kula yao yenyewe shida!This damn thing requires a huge capital investiment.Tatizo kwa sasa ni kwamba tunahitaji an intergrated power generation system.Tutumie umeme wa nchi zinazotuzunguuka kama Zaire,Uganda na Zambia lakini pia tutumie other possible sources z kama Stiegler's godge na sources zingine kama thermal,wind,coal nk.Sasa wataalam wetu hawana uwezo wa kufanya yoyote katika haya.They might know how to do it,and they might also have the will to do it,but surely they don't have the resources to do it.Kwa hiyo tunahitaji government intervention ili mambo yaende.The story is the same in other sectors of the economy.
Ndugu zangu nafikiri kuna kulaumu serikali kulikozidi,wananchi pia tuna wajibu wa kutenda na kuisaidia serikali,mfano katika suala la umeme je wahandisi umeme wa nchi nzima wakijitolea kutafuta suluhu ya hili jambo hata kama ni njia nyingine mbadala kweli hatutapata majibu kwani lazima wazungu tunasomesha vijana wa nini?mfano wa pili ni mtu anayelalamika njaa wakati maji yanapita hapo mdomoni kwake anapewa chakula sawa na m2 aliyepo sehemu yenye jangwa pasipo kuwajibishwa?kweli serikali inatakiwa kutembea na viboko kufundisha wananchi kila kaya kulima mboga kwenye bustani zao je elimu ya sayansi kilimo tuliyopata haitoshi kila mtanzania kulima bustani ya mboga?mfano wa tatu mtu umeajiriwa lakini mara nyingi unakuta ofisini ni internet na zogo serikali ifanyaje,ingawa serikali ina mapungufu lakini hata sisi wananchi tuna mapungufu,kama hata mitaro kando ya barabara ya kwenda kwako huwezi kuzibua ili mvua ikinyesha usidhurike unasubiri serikali kuna tatizo,jamani huu ndio mtizamo wangu mwenye hoja tofauti,nyongeza au masahìhisho nawakaribisha tujadili pamoja tusonge mbele.
 
Aisee kweli JF is no longer the home of great thinkers,kwa mawazo haya ni sifuri. Sasa weweee,hao wahandisi wana capital gani ya kutengeneza miundo mbinu iliyochoka kama ya TANESCO, hata kama utashi huo ungekuwepo.Kula yao yenyewe shida!This damn thing requires a huge capital investiment.Tatizo kwa sasa ni kwamba tunahitaji an intergrated power generation system.Tutumie umeme wa nchi zinazotuzunguuka kama Zaire,Uganda na Zambia lakini pia tutumie other possible sources z kama Stiegler's godge na sources zingine kama thermal,wind,coal nk.Sasa wataalam wetu hawana uwezo wa kufanya yoyote katika haya.They might know how to do it,and they might also have the will to do it,but surely they don't have the resources to do it.Kwa hiyo tunahitaji government intervention ili mambo yaende.The story is the same in other sectors of the economy.

penye nia pana njia, tunaboard ya wahandisi inayokusanya mapato kila mara je hii haiwezi hata kusaidia kwenye chochote, ok tusubiri serikali ifanye na je isipofanya? baba yako asipokupa ada ya shulle hutafikiria alternative ya jinsi ya kupata? stop insults if my opinion are zero what makes yours something if you see my opinion as stupid then you might be stupid. nshaonya toka huko juu sipendi maneno ya kipuuzi sikuzaliwa na kuanza kukimbia kuna stage nilipita, wewe huoni wenzio wakina Mo- Town wanavyonielewesha kwa furaha,
 
Mo-Town je kama serikali yetu kwa sasa imelega sisi kama wananchi tunatakiwa kufanya nini? kusubiri 2015 tuwatoe au tunafanyaje?
 
serikali isiyo shirikishi ni lazima ilaumiwe hadi hapo itakapojirekebisha au kuachia ngazi kwa nguvu ya umma.....................

unashauri tutumie nguvu ya umma kwa sababu sidhani kama serikali yetu inabadilika kiraisi hivyo na pia ndugu unaridhika kabisa na utendaji kazi wa sisi wananchi kwamba ni mzuri, mi nategemea katika thread hii turekebishane wananchi na serikali ili tusonge mbele kwa pamoja.
 
Back
Top Bottom