Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,834
Kama ni imani za kishirikina hili liko dhahiri na wazi kabisa.
Kila ajali inayohusisha mabasi ya mohamed, utasikia tairi lilipasuka.
Kila mwaka wanauwa watu wengi mno ambao wamefanya kosa kubwa moja la kuiamini mohamed trans na kuwalipa nauli ili wafike kwao.
Jamani hawa mohamed hawajifunzi kutokana na makosa, kwanini wasitafute matairi imara na madhubuti ambayo wasafirishaji wengine wamekuwa wakiyatumia?
Kila ajali inayohusisha mabasi ya mohamed, utasikia tairi lilipasuka.
Kila mwaka wanauwa watu wengi mno ambao wamefanya kosa kubwa moja la kuiamini mohamed trans na kuwalipa nauli ili wafike kwao.
Jamani hawa mohamed hawajifunzi kutokana na makosa, kwanini wasitafute matairi imara na madhubuti ambayo wasafirishaji wengine wamekuwa wakiyatumia?