gnassingbe
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 4,826
- 3,572
Ok rai yangu kwa mashabiki wa ccm ukibeza beza kwa hoja sio kwa kejeli.Imani yangu ni kwamba yeyote anayeitetea ccm anafaidika kwa namna moja au nyingine hamna jinsi ila kumbukeni mwenyekiti wenu amekiri kuwa ccm ina rasilimali nyingi lakini hazitumiwi kwa maslahi ya chama vipi sasa hivi muweze kutumia rasilimali za taifa kwa maslahi ya umma.