Kwanini kesi nyingi huishia polisi?

Slave

JF-Expert Member
Dec 6, 2010
5,314
2,635
Heshima kwenu wana jf.kwanza kabisa natoa shukrani kwa wote ambao mmekuwa mkitoa ushauri na maelekezo ya namna ya kutatua matatizo. Ndg zangu kuna jambo nimelisikia eti kati ya kesi 100 zinazofunguliwa polisi,ni kesi 40 tu ndizo ambazo hufikishwa mahakami na hizo 60 huishia polisi, eti sababu zipo nyingi ila 3. ndiyn kubwa 1. mlalamikaji kukwepa usumbu 2.kuogopa kugeukiwa na kesi. 3.kutojua sheria.je? Nikweli kesi nyingi hazifikishwi mahakamani kwa sababu hizo?kwa faida ya wengi naomba mnifafanulie hili.
 
nikweli kabisa tena hata hizo asilimia 40 ni kubwa sana ukiona wa2 wamefikishana polic ujue wameshindwana na wakifika watamalizana pale pale mana polic nao wanacheza na pande zote 2 akiona upande mmoja unakomaa na akuna jinsi watakwambia uckubali nenda nao mahakamani kesi itakuwa hivi na vile ni chache sana zinazokwenda mahakamni
 
I thought ni kwa sababu huwa hazina sababu ya kwenda mahakamani! Yaani kama polisi wameshindwa kuwapatanisha/kusuluhisha mgogoro then ndo mnashauriwa muende mahakamani kama last resort ya kupata haki idaiwayo!
ni mtazamo tu..
 
I thought ni kwa sababu huwa hazina sababu ya kwenda mahakamani! Yaani kama polisi wameshindwa kuwapatanisha/kusuluhisha mgogoro then ndo mnashauriwa muende mahakamani kama last resort ya kupata haki idaiwayo!
ni mtazamo tu..

ok ,hapo nimekuelewa. Yawezekana kumbe sio polisi tu. Ukianza na kesi zinazo anzia kwa wajumbe.inamaana zipo nyingi.sana
 
I think bcoz most of cases are nt important,kec nyingi ni za kufumaniana,kutukanana na vtu kama hivyo...hivyo inakuwa easy 4 polisi kutatua na kuymaliza kec hizo hukohuko kituoni
 
Watu wengi ni waoga na hajui sheria,polisi nao ni wajanja hawapendi kupeleka kesi mahakamani,kwanza hawajui kuandaa charge,na pili ushahidi unakuwa hautoshi,pia wanaogopa usumbufu lakini pia hata kesi zinazokwenda mahakamani ambazo ni chache nazo znachakachuliwa palepale!system ndio mbovu tu,polisi siku hz ndio wamekuwa mahakama,kila kesi watataka mmalizane wenyewe,ukiwa unajua haki yako ndio watapeleka mahakamani.
 
Watu wengi ni waoga na hajui sheria,polisi nao ni wajanja hawapendi kupeleka kesi mahakamani,kwanza hawajui kuandaa charge,na pili ushahidi unakuwa hautoshi,pia wanaogopa usumbufu lakini pia hata kesi zinazokwenda mahakamani ambazo ni chache nazo znachakachuliwa palepale!system ndio mbovu tu,polisi siku hz ndio wamekuwa mahakama,kila kesi watataka mmalizane wenyewe,ukiwa unajua haki yako ndio watapeleka mahakamani.

kweli kabisaaa nakumbuka mwaka juzi rafiki yangu mmoja alikosana na askari,akatengenezewa kesi ya kubaka,kama ulivyosema hapo juu jamaa aliomba kesi iende mahakami walipomuna jamaa anamsimamo wakamwambia ajizamini tokea hapo ikawa hakuna kesi tena.
 
Back
Top Bottom