idoyo
JF-Expert Member
- Jan 13, 2013
- 3,050
- 1,401
ITV ni wabinafsi na wakabila sana.....hawawezi kutangaza habari za vyama vingine zaidi ya CHADEMA, ccm wanairusha sababu wanaiogopa eti kunasiku Mgombea Uraisi Kwa tiketi ya CCK wanamuita Mwanazuoni yaani hawataki kabisa vyama vingine visikike zaidi ya CHADEMA.....huu ni ujinga kwani hata hao CHADEMA imekuwa ngum kutoa mgombea mmoja wa UKAWA kama wanahisi hawa wagombea Urais na ubunge wa vyama vingine unawapunguzia nguvu CHADEMA na mpaka sasa wanapanga kumtangaza tena Dr Slaa...
ITV waache ubaguzi kiukweli.
vipi TBC na habari za CHADEMA? au ndiyo nyani haoni kundule!?