Kwanini huwa tunahama usiku?

Jisemee siio sote. Wengi mnapenda kuhama usiku kuficha umaskini wenu. Sisi wenye vijisenti si haba kwanza hatuhami. Tulihama tulipohamia kwenye mijengo yetu. Kuhama ni pale ninapolazwa au kusafiri kwa muda mrefu. Hivyo, kuhama ni kwa ajli ya maskini, vijana na watumishi wa umma wanaohamishwa hamishwa si kwetu sote mwanangu.

Una vijisenti gani we kapurwa?
 
Comment nyingi nazoziona Bado hazina majibu yaliyo nyooka,

Nachojua Mimi kuhama usiku point kubwa ni aibu kutokana na vitu tunavyomiliki vinakuwa havina muonekano mzuri

Mbona mkivinunua dukani mnavileta mchana kweupeeeee basi godoro la nchi kumi ,kabati na friji vitakaa nje weeeeeee!!!!!!

Wapita njia wote watavionaa,,,,lakini mtu una tivi ya chogo hata haieleweki hata AV input cable zimefungwa kwa nje baada ya sehemu husika kuliwa na panya,unapata wapi ujasiri wa kuhama nayo mchana,jua linawaka,mbuzi anakula majani..

Wengine wanamiliki mafriji kama fashion hata compressor halina,kwani usisubiri kiza ndio uhame

Wanao Hama mchana Kuna sababu hizi.....

1.Ugomvi na mwenye nyumba,au kutupiwa vyombo nje

2.Aina ya sehemu anayohamia,miundombinu mibovu ya barabara

3.Usalama, Kuna sehemu magari hayatembei/hayafiki nyakati za usiku

4.mtu anayehamia kwake,japo siyo wote
 
Back
Top Bottom